Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

understood!nipe source ya info zako!TOO THEORETICAL!umekula SENKSI ANYWAYS
SOURCE? iTS FROM me, myself and I!
Hakuna theory hapo... ni tested wisdom from life experience.Kua utayaona kama bado hujayaona ukajua kuwa ni application ya maisha na siyo theory.
 
Kama wanawake wanapenda sana quarrels ndio maana mnaenda nyumba ndogo, hizo nyumba ndogo siyo wanawake?
Kama ni wanawake, je kuna kozi maalum ya kusomea kuwa nyumba ndogo - in other words is NN a profession, kama ndio basi mjue mnaibiwa tu.Its a matter of time jamani.

Nitamalizia hivi, binadamu kwa hulka aliyoumbwa nayo, anayo tabia ya kupenda mabadiliko. Na hii ni kwa wote wanawake na wanaume.Tofauti iko kwenye mifumo ya maisha,mila, desturi na imani za kidini zenye kutuwekea mipaka.Mipaka hii inafanya watu wawe na kiasi, wajizuie kufanya mambo fulani kwa kuogopa Mungu, jamii, serikali n.k.
Hii mipaka isingekuwepo, basi si ajabu hakuna mwanaume wala mwanamke angebakia na ndoa yake kwa vile kungekuwepo na alternatives za kukimbia kero na kutafuta furaha na faraja.

Inashangaza kuona ati akina kaka walio wengi wanadhani wao wanayo haki kukiuka mipaka lakini wanaamini kabisa kuwa wanawake wao hawapaswi kukiuka. Wanasahau hakuna binadamu mwenye roho y achuma na mwingine ya sufi. Kumbuka usitende usichopenda kutendewa na hii ndio golden rule.Ukijua kuwa kitu fulani kinakuumiza wewe ujue ukimfanyia mwenzio naye utamuumiza. Je ni sawa?

Kwenye hiyo blue ndugu,wenye nyumba ndogo wanatakiwa kulielewa hili.In a statement NEWTON akasema,"TO EVERY ACTION THERE IS AN EQUAL AND OPPOSITE REACTION"
 
SOURCE? iTS FROM me, myself and I!
Hakuna theory hapo... ni tested wisdom from life experience.Kua utayaona kama bado hujayaona ukajua kuwa ni application ya maisha na siyo theory.
haya!nitakua na kuyaona mamaangu!
one last request,nipe msimamo wako kuhusu hili:ARE THEY HERE TO STAY?(nategemea utasema YES!experience inakuhukumu)
 
ukishadhani mkeo hakuridhihi, basi jua hata yeye humfikishi, then THINK BIG!

He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...
 
inafika mahala mwanamke anavua ch...i KWA KUTIMIZA WAJIBU TU!hakuna anachokifanya zaidi ya kutimiza wajibu!kidume akishaona huo upuuzi,basi anaanza kushinda baa,mara mabaa medi mara nyumba ndogo!



hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.
 
He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...
Ha ha ha ha!mpwa mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
haya!nitakua na kuyaona mamaangu!
one last request,nipe msimamo wako kuhusu hili:ARE THEY HERE TO STAY?(nategemea utasema YES!experience inakuhukumu)

Obviously hii pamoja na uozo mwingine wowote - iwe ni wizi, ujambazi, ufisadi etc vitabakia tu as long as weakedness ya binadamu haitafutika!
It will come to pass when this world comes to pass.
 
He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...

na wewe ni mwanaume, so ukioa utafanya hayo just bcoz they are ther to stay?
 
Mpwa mi nimegonga senks kisha nikairemove! they are not here to stay...we make them stay mpwa! stuka!

tehe tehe mi nashauri ili kupunguza misuguano ziwe official kabisa, yaani mwenye ubavu amtambulishe kwa mamsapu kuwa huyu ndo anakusaidia kisha tuone kama zitaendeela kuwa na the same 'effect'.

FL1...noted with thanks!

Kuu ikimbulishwa haiitwi nyumba ndogo anakuwa mke mdogo hivyo utatakiwa kutafuta nyumba nyingine ili mambo yaende sawa.
 
hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.

Ahaa! Sasa kama umechoka na mwenzio anataka, huoni kuna kila sababu ya mwenzio kukutafutia msaidizi ili asikuchoshe zaidi?
 
hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.
mwanamke akininyima unyumba ni sawa na kunipa tiketi ya kuongeza NYUMBA NDOGO,naitafutia plot bagamoyo na ujenzi utaanza MARA MOJA
 
UMESHASEMA NI NECESSARY EVIL.... it goes without saying that it is evil...EVIL alongside other vices/evils like murder, theft, corruption, ... sasa mnafagilia nini? hivi ni sifa kujifagilia kuwa mnashiriki kwenye uozo? Kama unafanya basi ni wewe na Mungu wako mnayejua kwanini umefanya.Haihitaji kutafuta washirika au supporters.
 
na wewe ni mwanaume, so ukioa utafanya hayo just bcoz they are ther to stay?

Ufafanuzi kidogo. Nimeshaoa, a very successiful marriage. Of course kanyumba kadogo hakajawahi kustukiwa kwa sababu niko makini sana. Hapo ni nje ya vibaamed ambavyo najituliza pale inapotokea dharura.
 
UMESHASEMA NI NECESSARY EVIL.... it goes without saying that it is evil...EVIL alongside other vices/evils like murder, theft, corruption, ... sasa mnafagilia nini? hivi ni sifa kujifagilia kuwa mnashiriki kwenye uozo? Kama unafanya basi ni wewe na Mungu wako mnayejua kwanini umefanya.Haihitaji kutafuta washirika au supporters.
Well!
it sounds like UMESHAUMIZWA!nakusaidia kujibu kwa namna ninavyoona uandishi wako.............THEY ARE HERE TO STAY!
 
UMESHASEMA NI NECESSARY EVIL.... it goes without saying that it is evil...EVIL alongside other vices/evils like murder, theft, corruption, ... sasa mnafagilia nini? hivi ni sifa kujifagilia kuwa mnashiriki kwenye uozo? Kama unafanya basi ni wewe na Mungu wako mnayejua kwanini umefanya.Haihitaji kutafuta washirika au supporters.

At last: BINGOOOOO! There to stay! Hahaha! Nimekugongea SENKSI vera city. Nenda kathibitishe
 
He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...

Da!

Ha ha ha ha!mpwa mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaa

“Sometimes I'm confused by what I think is really obvious. But what I think is really obvious obviously isn't obvious...”
 
Back
Top Bottom