Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

Ufafanuzi kidogo. Nimeshaoa, a very successiful marriage. Of course kanyumba kadogo hakajawahi kustukiwa kwa sababu niko makini sana. Hapo ni nje ya vibaamed ambavyo najituliza pale inapotokea dharura.
That's my booooy!
watu wenye ndoa zao wanajua ukweli!THEY ARE HERE TO STAY
 
Nguli nawe bana!ki-blurei cha nini mpwa?
 
Ufafanuzi kidogo. Nimeshaoa, a very successiful marriage. Of course kanyumba kadogo hakajawahi kustukiwa kwa sababu niko makini sana. Hapo ni nje ya vibaamed ambavyo najituliza pale inapotokea dharura.


hivi kumbe ni wewe, ole! nilidhani nimem qoute G,....G swali linakuhusu hilo! naona hii thread imeshanichanganya...lol
 
mwanamke akininyima unyumba ni sawa na kunipa tiketi ya kuongeza NYUMBA NDOGO,naitafutia plot bagamoyo na ujenzi utaanza MARA MOJA



sasa hapo utakuwa unamkomoa nani? hapo ni kisa unyumba tu...mweh kazi ipo....karibu sana kwenye game.....
 
hivi kumbe ni wewe, ole! nilidhani nimem qoute G,....G swali linakuhusu hilo! naona hii thread imeshanichanganya...lol

Ulishamfumania muzee na kismall house au ulishawahi kuwa nyumba ndogo ya mtu? Kitu gani kinakufanya ukonfyuzi?
 
Ufafanuzi kidogo. Nimeshaoa, a very successiful marriage. Of course kanyumba kadogo hakajawahi kustukiwa kwa sababu niko makini sana. Hapo ni nje ya vibaamed ambavyo najituliza pale inapotokea dharura.
Du! maumivu ya kichwa huanza taaratibu! then ding, ding, ding...............
 
Nguli nawe bana!ki-blurei cha nini mpwa?

acha atumie kiblurey maana kinyumbani ni kama hamuelewi kabsaaaaaaaaaaaa!!! nini mbaya nyie watu lakini???? mnajiadhibu tuuu cant you see that?????
 
acha atumie kiblurey maana kinyumbani ni kama hamuelewi kabsaaaaaaaaaaaa!!! nini mbaya nyie watu lakini???? mnajiadhibu tuuu cant you see that?????
ha ha ha ha!
ni kawaida kwa abiria kuchunga mizigo yao....!ILA WEWE UMETIA FORA!ni zaidi ya kuchunga
ha ha ha ha!
SENKSI MRS NGULI
ha ha ha ha ha!
 
acha atumie kiblurey maana kinyumbani ni kama hamuelewi kabsaaaaaaaaaaaa!!! nini mbaya nyie watu lakini???? mnajiadhibu tuuu cant you see that?????

Hapa labda kilatini, ki-blurei hakiwezi kubadilisha msimamo. Hahaha!
 
Back
Top Bottom