Nguli hajashinda!yupo siriaaz na hii ishu kwasababu hataki kuifikiria kabisa kwa kichwani yake!lakini hiyo HAIKWEPEKI MAZEE!
HERE TO STAY
nyepesi nilizonazo nguli anatafuta plot KITUNDA kwa ajili ya bht!
NA UJENZI UTAANZA MARA MOJA!(i am project engineer just incase mkitaka details)
Sasa lijendi ni hivi!
nyumba ndogo ZINADUMISHA NDOA!IF YOU MUST KNOW THE TRUTH!...
(by the way umepata kiwanja cha bht huko KITUNDA😀)
nilishauri tuanze ujenzi kabla mvua hazijachanganya
Thanks for ur support, watu hawanielewi ila iko siku watanielewa.
\and am afraid that will be too late for them....
Goeff am not material..moja!!! na la pili sitakaa niwe nyumba ndogo hata siku moja...never ever in this gift of life the Almighty God Bestowered in me!!!!!!! Got that??? hahaaa unalo...utaotaaaaaaa
\
WHO TOLD YOU? We are never late! Tutakuwa bega kwa bega mpaka kieleweke.LOL!
Hahaha! Wewe si utakuwa nyumba kubwa bana? Usijali nguli hana time na nyumba ndogo. It will be only you. LOL!
ukweli utaendelea kubaki ukweli tuuu, haijalishi!!!!
Naona kuna ishara ya kamsisitizo fulani. LOL! Haya shem!
Naona kuna ishara ya kamsisitizo fulani. LOL! Haya shem!
Nimeenda kumuuliza babu amesepa nyumba ndogo zinasaidia sana kisaikolojia unajiridhisha nafsi yako.
eeeh osha nawe utaoshwa....lazima na wife atafute tuserengeti boys ili mwende sawa kisaikolojia... hw is that????
eeeh osha nawe utaoshwa....lazima na wife atafute tuserengeti boys ili mwende sawa kisaikolojia... hw is that????
To me its ok mradi nisijue. Just like what am doing.
sasa hiyo shida mnayojipa ni ya nini??? hamtaki kuwa huru nyie eeh!!
sasa hiyo shida mnayojipa ni ya nini??? hamtaki kuwa huru nyie eeh!!
Raha jipe mwenye mama usisubili n'tu aje akukune