Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nguli hajashinda!yupo siriaaz na hii ishu kwasababu hataki kuifikiria kabisa kwa kichwani yake!lakini hiyo HAIKWEPEKI MAZEE!
HERE TO STAY
Unataka kusema bht amemaliza kila kitu kwa nguli? Just wait and see! LOL!