FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
ana hekima ZA KU-TAIPU!hahahahaha.ninyi wanawake ninyi?!!!!yani mtu anaandika unasema ana hekima,HOW DO YOU PROVE?hahahahaha...kweli mnapenda kudanganywa,lolNguli hongera una hekima za kumwaga ..naamini mkeo anakupenda/atakupenda kama unavyomfanyia
be blessed always
.....and what if ukijua kwamba mkeo ana serengeti?!?!!!!tena baada ya kumuamini kwa muda mrefu?
hahahahahahahaha!AFANYE KWA SIRI KUBWA!wewe ni mkweli na naamini UMEOLEWA SASA!unajua kinachojirimie simruhusu mwenza wangu kuwa na small house na kama yeye na akili anayoijua mwenyewe ataamua kuwa naye basi afanye kwa siri kubwa ..kama nikijua mie moto wake hauzimiki .......
Nikifanya mie je ??????
Ofcourse hana, that, i can proudly confirm! And am very thankfully for that! Justifying is not necessarry as long as nimejiridhisha na kuuachia moyo wangu uamini nachoamini. In future i cant say but so far he is mine and only mine. However,hata wakiwepo nyumba ndogo in future sitishiki, they are just mistresses who are no threat to me.
mie simruhusu mwenza wangu kuwa na small house na kama yeye na akili anayoijua mwenyewe ataamua kuwa naye basi afanye kwa siri kubwa ..kama nikijua mie moto wake hauzimiki .......
Nikifanya mie je ??????
ana hekima ZA KU-TAIPU!hahahahaha.ninyi wanawake ninyi?!!!!yani mtu anaandika unasema ana hekima,HOW DO YOU PROVE?hahahahaha...kweli mnapenda kudanganywa,lol
ana hekima ZA KU-TAIPU!hahahahaha.ninyi wanawake ninyi?!!!!yani mtu anaandika unasema ana hekima,HOW DO YOU PROVE?hahahahaha...kweli mnapenda kudanganywa,lol
naona wewe tuko page moja, ya nini uishi kwa wasiwasi, na wakati mume wako mwenyewe.Sema mamii, wasiku tishe tishe...kama hujawahi kusikia wala kuhisi wala kumkamata kwa namna yoyote ile una haki ya ku confirm kwamba hana...
I can tell you sometimes sijui kuiga au kufuata mkumbo au ni hulka ya mtu! Mimi wangu nilikuwaga sisemi hata akirudi usiku wa manane siongei zaidi ya kuamka na kumsongea ugali ale nimnawishe maji kisha tupande kitandani tulale tena kwa vicheko na bashasha bado akaitafuta nyumba ndogo na baada ya kumfumania sijasema kitu zaidi ya kuuliza why (na jibu nisipate) sasa hii sijui ni hulka au nini mie huwa mnanichosha kabisa enyi waja!
hili nalo neno mpwa.Hivi unajua ni nani anaye sababisha nyumba ndogo?
Kwa mwanaume kutafuta nyumba ndogo mwanamke unakuwa chanzo na upande wa mwanamke kuwa na serengeti boyz mwanaume ndo chanzo kaeni chini mliangalie hilo mapungufu yenu.
amen n amenMhhhhh nyumba ndogo zishindweeeeee!!!!
Hivi unajua ni nani anaye sababisha nyumba ndogo?
Kwa mwanaume kutafuta nyumba ndogo mwanamke unakuwa chanzo na upande wa mwanamke kuwa na serengeti boyz mwanaume ndo chanzo kaeni chini mliangalie hilo mapungufu yenu.
Mj1 una uvumilivu kweli, nakufurahia kwa hilo, mie nina roho ndogo sana au cjui nisemeje lakini wakati nilipopitia purukushani za ndoa kweli kila kitu nilictisha, ckuweza hata kumfanyia lolote na roho haikunisuta kabisa mana nilikuwa naona najichosha bure kwa mtu aceridhika, hatokaa asahau kile kipindi cha miezi 6 tuliyopitia.....
Ushajibiwa kwa ufasaha hapa
Mtake radhi Nguli tafadhali!ana hekima ZA KU-TAIPU!hahahahaha.ninyi wanawake ninyi?!!!!yani mtu anaandika unasema ana hekima,HOW DO YOU PROVE?hahahahaha...kweli mnapenda kudanganywa,lol