hahahahahaha!sijaona hiyo BIG NOO UNAIAPPLY WAPI!naona unapinga kitu ambacho finally unakikubali.mpnz bana
thank you!Mkuu Geoff..
Literally tunakataa haya mambo, lakini ukienda kwenye reality, haya masuala ndo yanayoongoza dunia, na yanatesa about 90% ya wanaume!...Mi sitaongea sana maana nishaumizwaga sana na haya makitu!...By ze way nitawapa hapa siku moja...Nyumba ndogos seem to be permenent agenda in lyf!
MJ1 big up sana uvumilivu wako ni mkubwa sana
Hivi unajua ni nani anaye sababisha nyumba ndogo?
Kwa mwanaume kutafuta nyumba ndogo mwanamke unakuwa chanzo na upande wa mwanamke kuwa na serengeti boyz mwanaume ndo chanzo kaeni chini mliangalie hilo mapungufu yenu.
thank you!
umeamua kusimama kwenye ukweli moja kwa moja!YOU MUST BE MARRIED.
UMEKULA SENKSI HAPO
Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself
Fidel80 hebu acha maskhara mala msingizie ooh anakuwa kama gogo awapo kwenye majambozi
Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself
Hongera sana nyamayao ukweli ni kwamba shemeji yangu huyu wako ni binadamu anayejua kafanya makosa na kukiri na zaidi ya yote kujutia na kuomba msamaha sasa wengine anafanya makosa anaona kama ni haki yake na wewe ukikasirika anachukulia ni kosa unastahili adhabu................... I wish uamuzi niliouchukua leo ningeuchukua zamani sana.
aksante firstlady but ndo nimemwaga manyanga i feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself
hahahah Nguli wewe ndo unashinda na mabinamu hawa naona wamepasua jipu una hekima za kutype na si za vitendo una la kusema ?????
mumeo hatoki nje?/hana nyumba ndogo?hakunaga sababu za kutoka nje bwana ni mtu na matabia yake mabovu tu.
Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself
.....and what if ukijua kwamba mkeo ana serengeti?!?!!!!tena baada ya kumuamini kwa muda mrefu?
Mwanajamii,
pole sana(from my heart)!
nyumba ndogo ARE HERE TO STAY!kwa hulka za wanaume wa kiafrika,huwezi kuzuia.kosa alilofanya mumeo ni kujisahau hadi unamfumania!ALILEWA NA PENZI LA NYUMBA NDOGO
Unajua mimi nabisha/argue kwa reasoning na sio kwa HISIA. tafakari kwenye hili
Sasa kama unalala kama gogo na Mr. anakugeuza geuza kama fish na wewe hujitumi huoni kuwa wewe ndo chanzo cha Mr. kutafuta nyumba ndogo huko ambako anaweza akala kwa raha zake mpaka kujiexpress!!