Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

hahahahahaha!sijaona hiyo BIG NOO UNAIAPPLY WAPI!naona unapinga kitu ambacho finally unakikubali.mpnz bana


cjawatuma mkafanye tafadhali, na ndio hapo nasema kama mnafanya bac mjitahidi mfanye kwa cri kutunza heshima za wake zenu,nimekuambia wewe hivyo mana naona akili yako inakutuma kufanya hayo na ukiamini ni sawa/haki.....
 
Mkuu Geoff..
Literally tunakataa haya mambo, lakini ukienda kwenye reality, haya masuala ndo yanayoongoza dunia, na yanatesa about 90% ya wanaume!...Mi sitaongea sana maana nishaumizwaga sana na haya makitu!...By ze way nitawapa hapa siku moja...Nyumba ndogos seem to be permenent agenda in lyf!
thank you!
umeamua kusimama kwenye ukweli moja kwa moja!YOU MUST BE MARRIED.
UMEKULA SENKSI HAPO
 
MJ1 big up sana uvumilivu wako ni mkubwa sana

Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself
 
Hivi unajua ni nani anaye sababisha nyumba ndogo?
Kwa mwanaume kutafuta nyumba ndogo mwanamke unakuwa chanzo na upande wa mwanamke kuwa na serengeti boyz mwanaume ndo chanzo kaeni chini mliangalie hilo mapungufu yenu.


hakunaga sababu za kutoka nje bwana ni mtu na matabia yake mabovu tu.
 
thank you!
umeamua kusimama kwenye ukweli moja kwa moja!YOU MUST BE MARRIED.
UMEKULA SENKSI HAPO

Goeff tafadhali usiuite huo ukweli bali msimamo wako na wengine kama PJ.....
 
Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself

mh bora we umesema.....
 
Mwanajamii,
pole sana(from my heart)!
nyumba ndogo ARE HERE TO STAY!kwa hulka za wanaume wa kiafrika,huwezi kuzuia.kosa alilofanya mumeo ni kujisahau hadi unamfumania!ALILEWA NA PENZI LA NYUMBA NDOGO
 
Fidel80 hebu acha maskhara mala msingizie ooh anakuwa kama gogo awapo kwenye majambozi

Sasa kama unalala kama gogo na Mr. anakugeuza geuza kama fish na wewe hujitumi huoni kuwa wewe ndo chanzo cha Mr. kutafuta nyumba ndogo huko ambako anaweza akala kwa raha zake mpaka kujiexpress!!
 
Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself

Usi jisikie vibaya MJ!, kumbuka siku zote wema una malipo mazuri...You are strong woman...

basi tu hakuna kitufe cha hugs, ningekugongea.
 
Hongera sana nyamayao ukweli ni kwamba shemeji yangu huyu wako ni binadamu anayejua kafanya makosa na kukiri na zaidi ya yote kujutia na kuomba msamaha sasa wengine anafanya makosa anaona kama ni haki yake na wewe ukikasirika anachukulia ni kosa unastahili adhabu................... I wish uamuzi niliouchukua leo ningeuchukua zamani sana.


hapo ndio ckutakaga kumlegezea mana nilijua itakula kwangu, niliushikilia mcmamo wangu nilioanza nao mpaka mwenyewe ali surrender.....
 
aksante firstlady but ndo nimemwaga manyanga i feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself

pole sana mamy ila mie huwa naamini ule msemo wa mlango mmoja ukifungwa mwingine umefunguliwa kwa ajili yangu
huwezi jua mungu amepanga nini katika maisha yako
you will be fine
 
hahahah Nguli wewe ndo unashinda na mabinamu hawa naona wamepasua jipu una hekima za kutype na si za vitendo una la kusema ?????

Unajua mimi nabisha/argue kwa reasoning na sio kwa HISIA. tafakari kwenye hili
 
hakunaga sababu za kutoka nje bwana ni mtu na matabia yake mabovu tu.
mumeo hatoki nje?/hana nyumba ndogo?
if no-how do you prove?and what are you doing to make him not seeing another lady?

if anatoka-kutoka nje pekee utamwambia ana tabia mbovu?
 
Aksante Firstlady but ndo nimemwaga manyanga I feel so bad kwa sababu majitu kama sisi ndio tunachochea uonevu dhidi ya wanawake laiti tungekuwa wakali nadhani tusingekuwa tunachezewa....... Am so mad bout myself


ucrudie kosa mami, ulimwendekeza sana shemeji yangu akafikia kuona bila yeye huwezi kuishi......
 
.....and what if ukijua kwamba mkeo ana serengeti?!?!!!!tena baada ya kumuamini kwa muda mrefu?

Nitatafuta sababu ya yeye kutoka nje nini? kabla ya kuchukuwa maamuzi labda ni mimi ether nimepata kisukari au nimekuwa bize na kazi mpaka nikamsahau.
 
Mwanajamii,
pole sana(from my heart)!
nyumba ndogo ARE HERE TO STAY!kwa hulka za wanaume wa kiafrika,huwezi kuzuia.kosa alilofanya mumeo ni kujisahau hadi unamfumania!ALILEWA NA PENZI LA NYUMBA NDOGO

Ni kweli Geoff they ARE THERE TO STAY kwa sababu kama yalivyo mabadiliko ya dunia from ukoloni to globalization, nyumba ndogo zinaundergo mabadiliko hayo so lazima zitaendelea kubuni mbinu mpya ili tu ziendelee kuwepo so kama tunavyoona mwanzoni walianza kuvutia wanaume kwa kutoa massage na maneno mazuri na mambo ya shanga, mkatoka mbio oh mke wangu havijui hivi so it was a justification for you to have them, now utandawazi zaidi umeleta mambo ya kujiexpress nyumba ndogo wamedaka, wakaiadvertize waume kama kawa haooo wakashangilia so next time watakuja na tundu za pua....... so as you see new appertizer kila mara lazima ZISTAY tu huku mifuko ikiendelea kutobolewa!
 
Sasa kama unalala kama gogo na Mr. anakugeuza geuza kama fish na wewe hujitumi huoni kuwa wewe ndo chanzo cha Mr. kutafuta nyumba ndogo huko ambako anaweza akala kwa raha zake mpaka kujiexpress!!


kila cku najaribu kukuelewesha kwamba ndoa sio kitanda tu kuna mambo kibao, afadhali hayo ya kitanda mtaeleweshana/fundishana mkaenda sawa.
 
Jamani hapo sasa mnatafuta watu tuanze kukaguliwa milangoni turejeapo toka kwny mihangaiko! Mbona mkuu umetoa formula ya jeshi, huoni vita tushapoteza hii! Duh ama kweli umeamua kutuumbua!
 
Back
Top Bottom