carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
Nimekugongea senks shemeji. I am sure your wife is very proud of you!Naapa na Mungu anisaidie sitotoka nje ya ndoa yangu, I m here to make the difference.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekugongea senks shemeji. I am sure your wife is very proud of you!Naapa na Mungu anisaidie sitotoka nje ya ndoa yangu, I m here to make the difference.
bht kashakumiminia bilauri la limbwata! HEHEHE!
ndo nakwambia mie nikijua ..sijui itakuwaje teteteh
Mie sina ukoo kwetu nilizaliwa alone na wengine washakuwa vibibi rafiki
Ha ha ha ha, Huwa katika maisha natafuta tofauti kabla ya kuuamua amuzi la pili, sioni tofauti ya kumega nje ya ndoa. Sioni. I cant withstand seeing kitandani analia kwa maumivu ya ukimwi niliomletea, siwezi kbs kuona mwanangu analia atamkosa baba no I cant.
ukifuatilia mabandiko mengi ya nyamayao na fl1 utaona wamesisitiza kwamba TUFANYE SIRI.....
nyumba ndogo ndio chanzo cha ukimwi?Ha ha ha ha, Huwa katika maisha natafuta tofauti kabla ya kuuamua amuzi la pili, sioni tofauti ya kumega nje ya ndoa. Sioni. I cant withstand seeing kitandani analia kwa maumivu ya ukimwi niliomletea, siwezi kbs kuona mwanangu analia atamkosa baba no I cant.
bht kashakumiminia bilauri la limbwata! HEHEHE!
nyumba ndogo ndio chanzo cha ukimwi?
Yawezekana ni kweliuyasemayo Kapinga, lakini kumbuka hata wanaume na nyie kuna vitu mnawachosha wanawake tena vingi tu, lakini ni wachache sana wanaotafuta serengeti boys kama suluhisho la matatizo yao. Hakuna mwanamke asiyekuumiza akili, unaweza kuwa unaumizwa tena sana tu but in a way ambayo huiunderstand au you are blind just because ni nyumba ndogo. I am sure the same thing ambacho wife angekupush kwa nguvu nyingi ufanye, kwa nyumba ndogo ungefanya bila kuambiwa, so its just the mind that neesd healing, otherwise i dont think there is anything new out there, just wizi mtupu.
bht kashakumiminia bilauri la limbwata! HEHEHE!
nausubiri msimamo wa carmel
geoff na unaamini kabisa duniani kuna siri ...???????
Mimi nasema SIDANGANYIKI! There is no nyumba ndogo that is there to stay no, no, no.
Kuna vitu ambavyo hata kuvifikiria huwa sitaki na kimojawapo ni hiki. Mi sidhani kama small houses are here to stay, its just that watu wanajiendekeza na kutafuta gharama zingine unnecessarily. Geof watch out, especially you. (if u no wora am seying)
nyumba ndogo ndio chanzo cha ukimwi?
Tatizo ni nini hasa la kuwa na nyumba ndogo?
1.ni tamaa
2.wake zetu hawaturidhishi
3.tuliyotegemea kwa wake zetu hayapo
4.au staili ya kutafuta kazi au hela
5.
6.
.
.
.
.
mumeo hana nyumba ndogo?ai miin can you justfy?