Nyumba hii nimeijenga kwa miaka mitatu

Sawa Baba mwenye nyumba Hongera si wengine Cha Muhimu punzi tu Mungu pekee
 

Ongera, umejitahidi sana. Sasa unaenda wapi na hiyo baiskeli?
 
Hongera sana mkuu. Wengine hatuna roho za kujenga cjui ni pepo gani hili... Shetan ashindwe kwa jina la yesu!
 
Hongera sana mkuu kwa hatua hiyo kubwa. Naamini utaleta changamoto kwa vijana wengine pia kufanya udhubutu kama uliofanya.

Usitishwe na 'mapovu' ya baadhi ya vijana wa jf maana walio wengi bado wanaishi kwa shemeji wakisubiri ajira. Kuna la kujifunza kwa mtu mwenye mtazamo chanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…