Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
iPhone ndo nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hatuzungumzii mataifa yaliyoendelea au hujui kwa sasa pesa ni popote ndugu yangu hata Africa kuwa tajiri inawezekana kabisaKalagabaho wa aina hiyo huona kuwa na magari used mabovumabovu, tena ya kawaida sana!... kuwa na simu used from Dubai, S.A na China na kukaa kwenye apartment bubu au kuwa na kanyumba ka vyumba vitatu mpiji na malamba mawili ndo wamemaliza... walio chini NYOKO!
Vitu kama hivyo mataifa yalioendelea mtoto mdogo ambaye hajafika "25" anavyo akiwa University.... libaba lizima linaona lishatoboa na miaka yake "33" [emoji23]
Tujitathmini waafrika na watu wa aina hiyo kama huyo mleta mada.
[emoji817][emoji817]Kilamtu kinamuda na hakuna 10 bila kuwa na moja huko ndo tunaanzia hakuna aliezaliwa ananyumba ana gari kilakitu kinatafutwa na vinapatikana wengine wanapata na ziada muhimu juhudi tu na uvumilivu
Lakini Viendane na umri? Usije kuona mzee anaokota makopo uzeeni ili akauze unajua ndio kama akili zako za sasa usijipe moyo mkuuKilamtu kinamuda na hakuna 10 bila kuwa na moja huko ndo tunaanzia hakuna aliezaliwa ananyumba ana gari kilakitu kinatafutwa na vinapatikana wengine wanapata na ziada muhimu juhudi tu na uvumilivu
Hakuna anaempenda umaskini Jamani na umaskini haumpendezi mtu ila ndo Ivo tonatofautiana hata vidole mkononi havifananiLakini Viendane na umri? Usije kuona mzee anaokota makopo uzeeni ili akauze unajua ndio kama akili zako za sasa usijipe moyo mkuu
Pambana ukiwa na nguvu na kijana
Call us any name of your wish bro, after all who cares?.Gari huna
Nyumba huna
Mke huna
Iphone huna
Halafu upo above 30
Wewe kuna jina la kukuita sio bure
We huna akili... nna wasiwasi pia utakuwa SHOGA... maana mashoga hawanaga akiliHapa hatuzungumzii mataifa yaliyoendelea au hujui kwa sasa pesa ni popote ndugu yangu hata Africa kuwa tajiri inawezekana kabisa
Ukaanza chini na ukafika juu hao unaowaita wameendelea wakajifunza kwako
Usijipe moyo ndugu kikubwa focus kusonga mbele na kuzifuata kanuni za utafutajiHakuna anaempenda umaskini Jamani na umaskini haumpendezi mtu ila ndo Ivo tonatofautiana hata vidole mkononi havifanani
Wew unawaza umiliki nyumba na gari na iphone Kuna mwenzio amepita huko anafikiria afungue kampuni ya kuuza hayo magari na hizo simu
Kwanza unaitwa hohehahe yaani hujielewi!! Ila kizuri unajua kusoma na kuandika inabidi tukufundishe dunia inaenda vipiWe huna akili... nna wasiwasi pia utakuwa SHOGA... maana mashoga hawanaga akili
Simu hata kuishika mbele za watu huogopiAcha ubabaifu mzeiya, kwanza Tunaomba screenshot ya simu yako
Naomba screenshot.Simu hata kuishika mbele za watu huogopiView attachment 2536651
Acha kukariri sio kila anaevaa shuka ni mmasaiWahaya bwana
Usiwaze ujinga muda wote tutakuuliza baada ya miaka kumi tunakukuta hata baiskeli haunaAfande vipi lini unatoa video ya pili?