Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
- Thread starter
- #41
Umeiona hapo hiyo ndio iPhone ndugu yanguiPhone ndo nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeiona hapo hiyo ndio iPhone ndugu yanguiPhone ndo nn
Macho mangapiUmeiona hapo hiyo ndio iPhone ndugu yanguView attachment 2536663
Wanasema maskini akipata matako yanalia mbwataaa.Hii akili kama ya @mwanamzizima alikuwa na pigo kama zako Sasa hivi ameikacha hiyo ID yake, endelea na mipasho ila wenye hela hawapo hivyo that's poor attitude.
usipime watu kwa standards zako za failure.Usiwaze ujinga muda wote tutakuuliza baada ya miaka kumi tunakukuta hata baiskeli hauna
Tatizo lako umeandika kama kuwaona ambao hawana hakuna wanachofanya shukuru Mungu kakupa afya kunawengine hata iyo afya ya kufanya kazi akapata Elfu 10 Kwa siku hanaUsijipe moyo ndugu kikubwa focus kusonga mbele na kuzifuata kanuni za utafutaji
Sidhani kama umaskini ni ugonjwa kila mtu lazima umpate
Kuzaliwa maskini sio kosa lako ni la wazazi wako ila unapoukubali umaskini hapo una makosa
Na hapa hatumcheki maskini bali ni kupeana njia ufike juu uachane na negative kufikiria vitu vizuri ni vya baadhi ya watu fulani
Hivi nani aliyeyaonaga hayo matako ya maskini😂😂😂😂Wanasema maskini akipata matako yanalia mbwataaa.
Labda kanunua Iphone 6 akajiona amefika
Hii ToaMke huna
Unajua hilo ni tusi la wahenga[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi nani aliyeyaonaga hayo matako ya maskini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini kikubwa unamiliki brand kubwa sana DunianiWanasema maskini akipata matako yanalia mbwataaa.
Labda kanunua Iphone 6 akajiona amefika
Yaani hili wahenga walimuonea maskini😂😂😂😂Unajua hilo ni tusi la wahenga[emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh Acha makasirikoIPhone ni simu za mashoga
Amina mtumishi wewe kidogo una akili ni vya kupita ila uvimiliki maana umeumbwa kutawala au hujui hiloKama vyote hivyo unavyo mshukuru Mungu, lakini kumbuka vyote hivyo ni Ubatili na kujilisha Upepo.
Mke anakupa heshima katika jamii inayokuzungukaHii Toa
Uongo, Kuishi na mtu ndani Uliyemnunua ni Laana na ni UtapeliMke anakupa heshima katika jamii inayokuzunguka
Hata mawazo yako yanaheshimika
Pia kuishi na mtoto wa watu ni akili kwa hiyo uoe kama hujaoa ndugu yangu
Najua sana lakini hatutaondoka navyo.Amina mtumishi wewe kidogo una akili ni vya kupita ila uvimiliki maana umeumbwa kutawala au hujui hilo