ziba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 474
- 546
Una hekima sana mwana Mama. Mumeo anabahati sana.Kilamtu kinamuda na hakuna 10 bila kuwa na moja huko ndo tunaanzia hakuna aliezaliwa ananyumba ana gari kilakitu kinatafutwa na vinapatikana wengine wanapata na ziada muhimu juhudi tu na uvumilivu