Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mkuu kasema Sqm moja ni 150,000...(laki na nusu) sio elfu 15 kama ulivyopiga wewe hesabu zako. Kwahiyo ongeza kasifuri kamoja kwenye jibu lako...15000*1400=21,000,000.00 Hii ni bei ya kiwanja, hivyo 300,000,000-21,000,000=279,000,000 DUUH! BEI YA NYUMBA NI 279M....! SHIKAMOO