0768628314
Member
- Apr 22, 2019
- 44
- 96
[emoji1]Mbona kama nyumba ni ghorofa au naona vibaya. Kingine nilitaka uliza mtu huyu anafanya kazi kiwanda cha mabati?
Ndio lina chumba cha ghorofa moja kwa njeMbona kama nyumba ni ghorofa au naona vibaya. Kingine nilitaka uliza mtu huyu anafanya kazi kiwanda cha mabati?
Tafadhali naomba mawasiliano yako ya whatsappHebu weka picha zaidi za msingi wa nyumba
Tafadhali naomba mawasiliano yako ya whatsapp
Nyumba ni kubwa sana ndugu imemaliza kiwanja ina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa lengo ilikua nikimaliza ujenzi wangu ndo nifatilie hiloNajizuia kuandika maneno mengi, ila....
1. Msingi wa nyumba ni .......
2. Kiwanja kina hati...?
3. 57 kwa 67....??!!! Ukubwa wa kiwanja, chote kimejengwa nyumba...
4. [emoji2368][emoji2368][emoji2368]
Sawa nitakutumia picha za msingi yapokuwa nisha funga fensi ni ngumu kuupiga picha msingi ukaonekana vyema.bahati Mbaya sina WhatsApp. ziweke tu hapa hizo picha au nitumie PM mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]We jamaa hubadilishagi iyo T-shirt na kofia
1) Sababu za kiuchumiKwanini anauza!??
Imejengwa kama Ruvu, Ifakara na Kilosa Secondary Schools walizojenga waCuba enzi za Nyerere na CastroNyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki 0692547049 au 0768628314
Ina vyumba vya kulala 4
Master 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo
Ukubwa wa kiwanja 57*67
Umeme upo.
huduma zote za kijamii zipo karibu
Inapatikana katoro-geita
Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.55 maongezi kwa alie tayari yapoView attachment 2522729View attachment 2522730View attachment 2522731View attachment 2522732View attachment 2522733
Huyu dalali ni msukuma. Msukuma hajui wapi afanye niniJukwaa ulilopost siyo la matangazo.
Usukuma ni kabila sio dharau bro. Mi mwenyewe Msukuma kwetu Ihale MassanzaNdugu mimi sio dalali mimi ndo mmiliki kama nimekukwaza sorry bro ila acha dharau.
Hata kama sina hela ya kubuy hii house, huu mtindo nikiuonaga hata mood ya kuangalia house yenyewe inakata.Mbona kama nyumba ni ghorofa au naona vibaya. Kingine nilitaka uliza mtu huyu anafanya kazi kiwanda cha mabati?