Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu weka picha zaidi za msingi wa nyumba
Najizuia kuandika maneno mengi, ila....
1. Msingi wa nyumba ni .......
2. Kiwanja kina hati...?
3. 57 kwa 67....??!!! Ukubwa wa kiwanja, chote kimejengwa nyumba...
4. [emoji2368][emoji2368][emoji2368]
Ukipita Katoro 78% ya nyumba zake bati ndo ziko ivo.kiwanja kiduchu sana. Na kwa nini unacheea bati namna hiyo?
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki 0692547049 au 0768628314
Ina vyumba vya kulala 4
Master 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo
Ukubwa wa kiwanja 57*67
Umeme upo.
huduma zote za kijamii zipo karibu
Inapatikana katoro-geita
Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.55 maongezi kwa alie tayari yapoView attachment 2522729View attachment 2522730View attachment 2522731View attachment 2522732View attachment 2522733
Sawa mkuu hayo ni maamuzi na utashi wangu wewe ukiamua kuezeka slop umeamua wewe na mimi nikiamua kuezeka Hiden roof Nimeamua mimi nikitaka kuezekea turubai nimeamua sasa hapa sipo kujadili aina ya muezeko ninacho uza ni mali yangu kwa alie na utayari basi tutafanya biashara ukubwa wa kiwanja ulio sema wewe huo umesema wewe ndugu siwezi bishana na hilo piaAcha kukariri, hicho kiwanja kwa macho tu hakizidi 25 kwa 30 m
Alafu hio paa umeweka kama inaelekea mbinguni au? Paa za ice hizo mnajenga Tz ili iweje, hivi nyie mnajenga kuiga tu wala hamjui maana yake
Nashukuru kwa ushauri mkuuImalize tu ndo uuze mzee hapo utatake muda sana ikiwezekana wape madalali
KatoroNi Katoro kitongoji/mtaa gani?
Malengo gani geita?? Mnatesa watoto tu ,huko geita yanatakiwa yabaki mashamba n'a nyaniKila wiki nipo dar hakuna jipya huko ndugu usione watu wanaishi miji midogo ukadhani hawana akili au hawataki kustareheka tunaishi sehemu kwa sababu na malengo maalum sio kuishi tu ili mradi upo mjini
Poa poa mzeeMalengo gani geita?? Mnatesa watoto tu ,huko geita yanatakiwa yabaki mashamba n'a nyani
Kwa ukubwa wa hicho kiwanja na thamani ya ardhi eneo ulilojenga pamoja na aina ya matofali yaliyotumika kujenga, unachouza hakifikishi thamani ya 55m!Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki 0692547049 au 0768628314
Ina vyumba vya kulala 4
Master 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo
Ukubwa wa kiwanja 57*67
Umeme upo.
huduma zote za kijamii zipo karibu
Inapatikana katoro-geita
Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.55 maongezi kwa alie tayari yapoView attachment 2522729View attachment 2522730View attachment 2522731View attachment 2522732View attachment 2522733
Afu milion 55 unapata nyumba mbagalaKwa ukubwa wa hicho kiwanja na thamani ya ardhi eneo ulilojenga pamoja na aina ya matofali yaliyotumika kujenga, unachouza hakifikishi thamani ya 55m!
Hata 40m inaweza kuwa mbinde!
Hata kama sina hela ya kubuy hii house, huu mtindo nikiuonaga hata mood ya kuangalia house yenyewe inakata.
We mpuuzi over 50 population za dar Wana maisha ya kijinga sana, mwendo ni mihogo na kachumbari na kandoro! Chumba kimoja familia nzima, mkipanga vyumba vya 50k mnahisi mmemaliza maishaMalengo gani geita?? Mnatesa watoto tu ,huko geita yanatakiwa yabaki mashamba n'a nyani