House4Sale Nyumba inauzwa imeshuka bei, mmiliki anataka kuhama

House4Sale Nyumba inauzwa imeshuka bei, mmiliki anataka kuhama

Ukiwa na nyumba kali, chini paving na ukuta mkali alafu gari full tinted ndani A.C nani kakuambia utachafuka vumbi boss. 😁

Hivi unamjua Ginimbi aliishi zimbabwe nchi choka mbaya ila utajiri alokuwa nao wanigeria walikuwa wanapiga salute........japo SA na naija wako juu ya Zimbabwe.
Ginimbi aliishi Harare ni pazuri kuliko dar hakuishi geita hakufanya upumbafu huo
 
Ukiwa na nyumba kali, chini paving na ukuta mkali alafu gari full tinted ndani A.C nani kakuambia utachafuka vumbi boss. 😁

Hivi unamjua Ginimbi aliishi zimbabwe nchi choka mbaya ila utajiri alokuwa nao wanigeria walikuwa wanapiga salute........japo SA na naija wako juu ya Zimbabwe.
 

Attachments

  • Screenshot_20230220-085437_Chrome.jpg
    Screenshot_20230220-085437_Chrome.jpg
    260.1 KB · Views: 4
Ginimbi aliishi Harare ni pazuri kuliko dar hakuishi geita hakufanya upumbafu huo
Acha lomoni basi nani kakuambia Harare ni pazuri kuliko dar 😁😁😁
Asee acha mchezo, harare pabovu sana, ushawahi panda Taqwa za kuenda SA.
 
Hebu nisaidie kusoma hapo labda mimi sielewi unipe ufafanuzi View attachment 2523647
Kiwanja chako ni 20m * 17m hivo vipimo vyako vipo kwenye futi!! Yaani mnaandika mkataba wa kuuziana kiwanja kwa ft? Strange!!!

Anyway kiwanja ni kidogo icho ndo maana nyumba imeenea, kiwanja Cha 57m by 67m si mchezo yaani hata kupiga fence mavi yanakutoka
 
Ndo nisha maliza hapo haita shuka zaidi ya hapo
Shusha tu hakuna namna. Ila naomba urekebishe vipimo vya kiwanja. Maana sisi watanzania huwa tunatumia kipimo cha mita. Sasa wewe umeweka hizo namba ila hatujajua unatumia kipimo kipi kuwakilisha hizo namba, centimeters, metre, feet, Kilometers, Hectare, yaani haujaeleweka. Na hapo ndipo utata unaanzia sababu kama eneo ni lako kwann uwe na mafundo fundo kwenye details za eneo lako?
 
Hizo 57 x 67 ni kipimo cha meters?

Kama ni meters, huwezi kumaliza kiwanja kwa ukubwa wa hiyo nyumba inayoonekana...
Kwa meter itakuwa uongo kwa hiyo nyumba kujaza eneo lote. Maana kwa hiyo nyumba kujaza eneo lote ni aidha kiwanja cha meter 15 kwa 15 au 17 au 18 haiwezi zidi hapo.
 
Hebu nisaidie kusoma hapo labda mimi sielewi unipe ufafanuzi View attachment 2523647
Sasa wewe ulivyoleta tangazo, wakati wa kusoma hizo namba hapo ikawaje ukaja kutukopia namba pekee yake ukaacha hayo maneno futi ambayo ndio yanabeba uzito wa namba hizo?!

Unajua nyie ndio wale watu polisi huwa wanawazaba makofi mnasema askari ni wababe kumbe mnaupuuzi mwingi.

Sasa wewe unaandika vitu nusu nusu halafu watu tunakuuliza hapa unakaa kimya na unajua shida ni kuwa haujaandika details zako sawa. Halafu unachukua karatasi lenye taarifa za vipimo unatuonyesha as if haujui kosa lako.

Yaani ingekuwa tupo polisi tunasuluhisha kesi na wewe ndie ulikuwa umeficha ushahidi nampa askari 20K akuzabe makofi akuweke ndani japo siku moja tu uwe na adabu na akili siku nyingine unaposhare taarifa usilete uzembe wa kushare taarifa nusu nusu. Umenikera sana ujue.
 
Back
Top Bottom