Senior idiot bora kula mihogo cocobeach kuliko kula kuku kasuluWe mpuuzi over 50 population za dar Wana maisha ya kijinga sana, mwendo ni mihogo na kachumbari na kandoro! Chumba kimoja familia nzima, mkipanga vyumba vya 50k mnahisi mmemaliza maisha
Kumbe sawa mkuuKwa ukubwa wa hicho kiwanja na thamani ya ardhi eneo ulilojenga pamoja na aina ya matofali yaliyotumika kujenga, unachouza hakifikishi thamani ya 55m!
Hata 40m inaweza kuwa mbinde!
Hii mentality yenu mtashangaa mnakufa kwenye nyumba za kupangaSenior idiot bora kula mihogo cocobeach kuliko kula kuku kasulu
SawaaIngekuwa masaki ningeinunua ila huko hapana
Mtaa wa melelaniKatoro mtaa UPI mkuu!?
😂 😂Mbona kama nyumba ni ghorofa au naona vibaya. Kingine nilitaka uliza mtu huyu anafanya kazi kiwanda cha mabati?
Nan hiyo ya kilimo cha mkono ,ngono zembe na kuzaa ovyo je ?Hii mentality yenu mtashangaa mnakufa kwenye nyumba za kupanga
Safi sanaIngekuwa masaki ningeinunua ila huko hapana
Acha zako boss hii ni poor mentality kuna mtu yupo kasulu anaishi kidon kuliko don wa darSenior idiot bora kula mihogo cocobeach kuliko kula kuku kasulu
Kidoni akiwa na mavumbi puaniAcha zako boss hii ni poor mentality kuna mtu yupo kasulu anaishi kidon kuliko don wa dar
Ukiwa na nyumba kali, chini paving na ukuta mkali alafu gari full tinted ndani A.C nani kakuambia utachafuka vumbi boss. 😁Kidoni akiwa na mavumbi puani
Ndo nisha maliza hapo haita shuka zaidi ya hapoweka bei halisi ili uweze kuuza, tazama kutokea milioni 95 mpaka 55 na bado huwezi iuza.
Kuna bro wangu nimemshauri afanye sarakasi zake zote za kujenga mahekalu mikoani ila ahakikishe ana hata chumba kimoja dar es salaamHivi binadamu unaishije nje ya dar,tena geita mtapata thawabu asee maana mshaishi motoni mkiwa dunian
Nyumba ni kubwa sana ndugu imemaliza kiwanja ina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa lengo ilikua nikimaliza ujenzi wangu ndo nifatilie hilo
Itakuwa ni feet sio Meterhata mm nmejiuliza ina maana nyumba imeenea kwenye kiwanja chore cha sqm 3819[emoji45][emoji81]
Hebu nisaidie kusoma hapo labda mimi sielewi unipe ufafanuziHiko kiwanja sio 57 kwa 67. Pima tena vizuri, hiko ni 16 kwa 25. Zingatia hapo kwenye kupima tena upya vinginevyo utaonekana tapeli.
57*67 ni karibu ekari 1 moja hiyo