Huu upuuzi sijui ni nani aliwafundisha sijui wakipima shamba la hekari za mraba 10,000 wataandika kwa futi hiyo namba ikibadilishwa kuja kwenye futi mraba.Kiwanja chako ni 20m * 17m hivo vipimo vyako vipo kwenye futi!! Yaani mnaandika mkataba wa kuuziana kiwanja kwa ft? Strange!!!
Anyway kiwanja ni kidogo icho ndo maana nyumba imeenea, kiwanja Cha 57m by 67m si mchezo yaani hata kupiga fence mavi yanakutoka
Khaaa kuna nyumba haina korido?Sijui kwanini ninachukuia nyumba ya korido!!![emoji51]
Unaona akili yako ilivo kwa kukaa sana na nyani wenzio geita ,sasa picha hiyo inafanana na dar ,jiji ni jiji kijana hata Burundi masikini ila ukifika Bujumbura ni patamu balaa,achanaga n'a mambo ya geita we hiyo mil 3 njoo dar ununue kigamboni wajukuu zako watakuja kukushukuru kaburini
Mmiliki anataka kuhama kwani alishahamia ?
Mzee zimbabwe wana miji mizuri sana, hiyo harare ni kama majiji mengine tu ya south africa.Ukiwa na nyumba kali, chini paving na ukuta mkali alafu gari full tinted ndani A.C nani kakuambia utachafuka vumbi boss. [emoji16]
Hivi unamjua Ginimbi aliishi zimbabwe nchi choka mbaya ila utajiri alokuwa nao wanigeria walikuwa wanapiga salute........japo SA na naija wako juu ya Zimbabwe.
Okay.....Mzee zimbabwe wana miji mizuri sana, hiyo harare ni kama majiji mengine tu ya south africa.
Ndio maana na mimi nimeacha kuongea tena maana comment zinazo andikwa hapa ni uchambuzi mimi nimeweka mezani mali ninayo uza nashangaa wataaramu wamesha anza uchambuzi mara paa kubwa mara kolido mara geita ni polini mara nini daaaah ila bongomkuu hatuna hela,sijaona lolote baya kwenye nyumba yako. sema chuki za kitanzania
mtu anakwambia hapendi nyumba yenye korido, asa si wehu huu kuna nyumba haina korido si itakuwa bwalo hilo.
Nahisi kama patakuwa na tabia ya kujaa maji...Imejengwa kama Ruvu, Ifakara na Kilosa Secondary Schools walizojenga waCuba enzi za Nyerere na Castro
PossiblyNahisi kama patakuwa na tabia ya kujaa maji...
ukiona mmiliki anasema kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa jua uyo hajawai kumiliko hata kiwanja toka lini hati ikatoka serikali za mitaa, labda makibaliano ya mauziano kitoka serikali za mitaaa sio hatiNajizuia kuandika maneno mengi, ila....
1. Msingi wa nyumba ni .......
2. Kiwanja kina hati...?
3. 57 kwa 67....??!!! Ukubwa wa kiwanja, chote kimejengwa nyumba...
4. [emoji2368][emoji2368][emoji2368]
hati ya amuziano toka serikali za mitaa ? unalijua neno hati maana yake na toka lini kuna hati ya makubalino toka serikali za mitaa ? iyo sio hatiNyumba ni kubwa sana ndugu imemaliza kiwanja ina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa lengo ilikua nikimaliza ujenzi wangu ndo nifatilie hilo