Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo barabara ni kuelekea forest wanapouza tofali na kufyatua
Bado hujaonyesha eneo lilobaki kwenye picha.Mimi mnunuzi lakini kutokana na mdororo wa uchumi bei pendekezwa isikuudhi,nimeamua kujilipua hivyo hivyo milioni tano cashNyumba ipo Kongowe kibaha ina vyumba 2 kila chumba na choo yake iliyokamilika.
Kuna kiwanja kuendeleza ujenzi
Bei ni million 15 Bei ndogo kulingana na hali mbaya ya mdololo wa kiuchumi
Ukubwa wa eneo ni mita za mraba 678.
Wanapofyatua tofali wapi?kwa albino kwa sheki unapita?Ipo barabara ni kuelekea forest wanapouza tofali na kufyatua
Sawa mkuuOhooo kwa sheki kushoto mita 150
Sijakuelewa mkuu@?Title deed
Mkuu hii haidaiwi na yoyote sema Nina shida kutoa mzigo bandarini sina pesabuyer be aware hilo ndio la msingi kuna jamaa yangu kanunua nyumba ambayo jamaa kaweka bond saccos baada ya kuuza mdaiwa kaacha lipa mkopo kufumba na kufumbua mnada huo jamaa pressure ipo juu sana kwa sasa
kaka picha ya nje ya nyumba iko waapi mbona hatuioni mkuuMkuu mbona picha m shaweka,