Apollo tyres
Senior Member
- Nov 16, 2024
- 109
- 286
eneo dogo at 190 M.... kweli Sinza ni maliENEO NI SQM 356
Maongezi yapo Ila pamoja na yote eneo lipo kwenye potential area.eneo dogo at 190 M.... kweli Sinza ni mali
exactly, watakuja hiyo ni prime areaMaongezi yapo Ila pamoja na yote eneo lipo kwenye potential area.
Absoluteexactly, watakuja hiyo ni prime area
True , this is potential area.Ipo sehemu nzuri Sana kiukweli.
Kuna uzi humu unasema serikali inaichukua Sinza yote, ungesubiri huenda fidia itakuwa nzuri kuliko bei ya kuuzaView attachment 3174904
ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI
LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE
ENEO NI SQM 356
ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA
CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi
BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
OK, Iltutalifikiria hilo jambo na kuona lipoje Ila Kwa sasa acha tuendelee na Biashara.Kuna uzi humu unasema serikali inaichukua Sinza yote, ungesubiri huenda fidia itakuwa nzuri kuliko bei ya kuuza
Namba mbona haipatikani?View attachment 3174904
ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI
LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE
ENEO NI SQM 356
ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA
CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi
BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
Namba mbona haipatikani?
Noted .MUNGU AKUBARIKI SANA upate mteja ndugu yangu
Ubalikiwe sana ndugu yako sina hata mtaji ukiuza nikumbuke hata laki tano tu ya mtaji tu ndugu yangu
Aisee ufanikiwe ndugu yanguNoted .
Hata kabla ya kuuza ngoja niangalie namna ya kukufikia na kufanya kitu kwako .
Nimepokea ✊🏿Aisee ufanikiwe ndugu yangu
Asante sana kaka mimi nakushukuru sana ndugu yangu
Walau niuze hata mitumba ya watoto hiyo itanipiga jeck sana
Asante sana ndugu
AMINANimepokea ✊🏿
Kweli unamaanisha kuwa una life ngumu? Kama hautojali nitakulimia heka 10 za ufuta gharama zote ni juu yangu ila kazi yako wewe ni kukaa huko shambani na kupalilia ufuta mpaka siku ya kuvunaAisee ufanikiwe ndugu yangu
Asante sana kaka mimi nakushukuru sana ndugu yangu
Walau niuze hata mitumba ya watoto hiyo itanipiga jeck sana
Asante sana ndugu