TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Unapajua mbweni mkuu!!? Tuachane na mbeni, hiyo nyumba tu, hiyo mil180 itatosha kuijenga hiyo nyumba na nakishi zake zote mpaka hivyo ilivyo!!?Kwa 180mil unapata kiwanja na unajenga nyumba nzuri kuliko hiyo na zinabaki pesa za furnitures
Hiyo 180 labda hilo banda la uwani ambalo kuna watu wanatamani ingekua nyumba ya kuishi milele na vijakazi wao!
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app