shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,432
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tanesco siyo wa mchezomchezo ukipita pale makao yao makuu unakuta majenereta yanaunguruma wakati sisi huku kitaa hatuna umeme unashindwa kujua what went wrongHahahaaa nimecheka mpk uchovu wa kazi umeisha! Na huu umeme wamekata muda si mrefu sijui wanatutakia nini!
[emoji23] [emoji23] hakuna namna,na hii mvua ngoja tuingie kwenye mablanket[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tanesco siyo wa mchezomchezo ukipita pale makao yao makuu unakuta majenereta yanaunguruma wakati sisi huku kitaa hatuna umeme unashindwa kujua what went wrong
Mi kanifurahisha kutokata tamaa,anazidi kutetea bidhaa yake[emoji23]Hahahha aisee una moyo sana muuzaji
Mi kanifurahisha kutokata tamaa,anazidi kutetea bidhaa yake[emoji23]
Halaf mbona nmeangaika kuitafuta hiyo Nyumba kwny picha[emoji12] [emoji12]hahahhahah, let me reserve my comments
Bei ni maelewano,cost iliyowekezwa haipishani na hiyo 9m.asiyejua gharama za ujenzi ndo anachukulia poaHauko making million 9?? Nyumba siioni naona banda tu au kuna picha zingine?
Mteja ni mfalme,mkuu karibuSi mchezo
Mteja ni mfalme,mkuu karibu
Nyumba za Lugumi bado zinatafuta mtejaMwaka 2007 nikiwa mwanza niliwahi uliziwa eneo kitangiri juu kabisa yani rada ya ndege unaona chini haaaa huko labda kwa teknolojia ya Brazil ya kuunga mlima kwa mlima
Nyumba za Lugumi bado zinatafuta mteja
Lock city ni nini?Maeneo mengi ya mwanza yamezunguka na mawe ndo maana ikaitwa lock city.
Eneo linalozunguka nyumba linajengeka pia ni kubwa,
Thanks
it's a writing errorLock city ni nini?