House4Sale Nyumba inauzwa Mkoa wa Mwanza

House4Sale Nyumba inauzwa Mkoa wa Mwanza

Nilivyoona picha tu nikaondoka eneo nililokuwepo nikaenda kukaa sehemu ya pekeyangu ndio nikaanza kusoma koment za wadau, nimecheka hadi machozi yamenitoka
Hahahaaaa!! Yaani jf sihami walah!
Nilicheka kama chizi.
 
Hahahaaaa!! Yaani jf sihami walah!
Nilicheka hadi kama chizi.
3fd6308da366ad585219d76a94ac1082.jpg
9e8ac1099e5fdb0891ccb73189c698f0.jpg
30df7c3886d953b3e6c5b983cfcc83a5.jpg

Hilo Jiwe kubwa hapo kuliondoa ukiandaa 300,000 linatoka na mawe unayatumia kujenga
Kwenda mpaka kwenye hiyo Nyumba ni tambalale mkuu.
Karibu sana kwa business
 
3fd6308da366ad585219d76a94ac1082.jpg
9e8ac1099e5fdb0891ccb73189c698f0.jpg
30df7c3886d953b3e6c5b983cfcc83a5.jpg

Hilo Jiwe kubwa hapo kuliondoa ukiandaa 300,000 linatoka na mawe unayatumia kujenga
Kwenda mpaka kwenye hiyo Nyumba ni tambalale mkuu.
Karibu sana kwa business
Hahahaaaa! Mkuu mimi sicheki kiwanja nacheka na comments za wateja wako. Biashara njema.
 
Hahahaaaa! Mkuu mimi sicheki kiwanja nacheka na comments za wateja wako. Biashara njema.
Mi mwenyewe nacheka sana sema kupitia wao mteja atapatikana.Na ndo maana najaribu kuwaelewesha wamiliki makazi mjini kwa bei poa.
Akhsante sana ndg.
 
Duuuh! Hii nayo nyumba mkuu? Sema nauza kiwanja kina mawe ya kujengea na banda
 
Mi mwenyewe nacheka sana sema kupitia wao mteja atapatikana.Na ndo maana najaribu kuwaelewesha wamiliki makazi mjini kwa bei poa.
Akhsante sana ndg.
Viwanja vya Mwanza mie navielewa, hivyo sikushangaa hata. Sema mawe na kokoto unatoa hapo hapo.
 
b21e91e2ee36a3d5e91fac46d027f740.jpg
Tambalale hapo mbele
1cbbd2a8d970619db62db4a0ca0841ed.jpg
mpaka unapita hapo kama unavoona
01b2b4e678259ef879455f4111bece78.jpg
c3f1f8b1eec59e288102b7a30b2b199a.jpg
hilo
788e06aee805f44b2817b6d49f9ab29d.jpg
hilo
7f2bd94b9e296f2fbf035c84c1dc078f.jpg

Hilo eneo hapo nyuma ni tambalale.
Kuhusu hilo Jiwe kuliondoa hapo let say 300,000
Bado mawe yanayotoka hapo unatumia kujenga
Hiyo point kulia ndipo mpaka unapita jirani na hiyo Nyumba.
Ni hatua 1 toka kwenye hiyo Nyumba.
Akhsanteni karibu kwa business.
KWA MWANAMALUNDI
 
Duuuh! Hii nayo nyumba mkuu? Sema nauza kiwanja kina mawe ya kujengea na banda
Selling price reflect the actual price that is what to consider. Investment made determine the price of the area .thanks
 
Unauza mawe mkuu unasema kiwanja, hicho ni choo juu ya mawe ndo kinauzwa
Dah kuna watu mnajua kukomenti [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ee mungu nipe umri mrefu niweze kupata ii furaha
 
b21e91e2ee36a3d5e91fac46d027f740.jpg
Tambalale hapo mbele
1cbbd2a8d970619db62db4a0ca0841ed.jpg
mpaka unapita hapo kama unavoona
01b2b4e678259ef879455f4111bece78.jpg
c3f1f8b1eec59e288102b7a30b2b199a.jpg
hilo
788e06aee805f44b2817b6d49f9ab29d.jpg
hilo
7f2bd94b9e296f2fbf035c84c1dc078f.jpg

Hilo eneo hapo nyuma ni tambalale.
Kuhusu hilo Jiwe kuliondoa hapo let say 300,000
Bado mawe yanayotoka hapo unatumia kujenga
Hiyo point kulia ndipo mpaka unapita jirani na hiyo Nyumba.
Ni hatua 1 toka kwenye hiyo Nyumba.
Akhsanteni karibu kwa business.

Asante kamanda
 
Alaf ii nyumba c ndo ile huw futuhi wanapenda kuigizia?
Wanataarifa kam nyumba yao inauzwa uku jf?
 
Back
Top Bottom