Hahahaaaa!! Yaani jf sihami walah!Nilivyoona picha tu nikaondoka eneo nililokuwepo nikaenda kukaa sehemu ya pekeyangu ndio nikaanza kusoma koment za wadau, nimecheka hadi machozi yamenitoka
Hahahaaaa!! Yaani jf sihami walah!
Nilicheka hadi kama chizi.
Hahahaaaa! Mkuu mimi sicheki kiwanja nacheka na comments za wateja wako. Biashara njema.
Hilo Jiwe kubwa hapo kuliondoa ukiandaa 300,000 linatoka na mawe unayatumia kujenga
Kwenda mpaka kwenye hiyo Nyumba ni tambalale mkuu.
Karibu sana kwa business
Mi mwenyewe nacheka sana sema kupitia wao mteja atapatikana.Na ndo maana najaribu kuwaelewesha wamiliki makazi mjini kwa bei poa.Hahahaaaa! Mkuu mimi sicheki kiwanja nacheka na comments za wateja wako. Biashara njema.
Viwanja vya Mwanza mie navielewa, hivyo sikushangaa hata. Sema mawe na kokoto unatoa hapo hapo.Mi mwenyewe nacheka sana sema kupitia wao mteja atapatikana.Na ndo maana najaribu kuwaelewesha wamiliki makazi mjini kwa bei poa.
Akhsante sana ndg.
MI NIPO MWANZA LAH ISEE UWO MTAA NOMAHauko making million 9?? Nyumba siioni naona banda tu au kuna picha zingine?
KWA MWANAMALUNDITambalale hapo mbelempaka unapita hapo kama unavoona hilo hilo
Hilo eneo hapo nyuma ni tambalale.
Kuhusu hilo Jiwe kuliondoa hapo let say 300,000
Bado mawe yanayotoka hapo unatumia kujenga
Hiyo point kulia ndipo mpaka unapita jirani na hiyo Nyumba.
Ni hatua 1 toka kwenye hiyo Nyumba.
Akhsanteni karibu kwa business.
Selling price reflect the actual price that is what to consider. Investment made determine the price of the area .thanksDuuuh! Hii nayo nyumba mkuu? Sema nauza kiwanja kina mawe ya kujengea na banda
Dah kuna watu mnajua kukomenti [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unauza mawe mkuu unasema kiwanja, hicho ni choo juu ya mawe ndo kinauzwa
usalama upoFaida yake ikitokea BOMOA BOMOA hata tinga tinga haliwezi kufika hapo!
Kam ulikuwepo mawazon kwanguMi kanifurahisha kutokata tamaa,anazidi kutetea bidhaa yake[emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sio mawe ndio yanauzwa?
Tambalale hapo mbelempaka unapita hapo kama unavoona hilo hilo
Hilo eneo hapo nyuma ni tambalale.
Kuhusu hilo Jiwe kuliondoa hapo let say 300,000
Bado mawe yanayotoka hapo unatumia kujenga
Hiyo point kulia ndipo mpaka unapita jirani na hiyo Nyumba.
Ni hatua 1 toka kwenye hiyo Nyumba.
Akhsanteni karibu kwa business.