Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
- Thread starter
- #21
Japo naamini kwa mtu anaepafaham mwenge mitaa ya TRA na kweli ni muhitaji na mnunuzi hata wa kutoa 150M kwenda juu atakuja tu kwenye bamba niliyoweka hapo kama wengine wanavyofanya, hao ndio wateja!
Hapa JF unaweza ubishana na mtu hana hata wazo la kununua kiwanja miaka 30 ijayo!
Hapa JF unaweza ubishana na mtu hana hata wazo la kununua kiwanja miaka 30 ijayo!