Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwanin hukuweka bei mwanzo?Usipende kujibu post za watu as kama ni yako bei ni milioni 53 mazungumzo yapo
kama ulikuwa unahitaji biashara na kama hukuona bei why hukupiga simu upatiwe mwongozo??au maana ya kuweka namba ya mawasiliano ni nn??usipende kuingilia shughuli zilizokuzidi kimo utaumbuka..Wewe kwanin hukuweka bei mwanzo?
Na utapostije uzi wa biashara kisha uingie mitini?
Uko serious kweli wewe?
Wewe kwanin hukuweka bei mwanzo?
Na utapostije uzi wa biashara kisha uingie mitini?
Uko serious kweli wewe?
Nishukuru hata nimekusaidia uzi wako umeenda enda kidogo. Hizi hapa chini umeanzisha wanajibu wawili wakizid wanne. Nyingine hajibu hata mtukama ulikuwa unahitaji biashara na kama hukuona bei why hukupiga simu upatiwe mwongozo??au maana ya kuweka namba ya mawasiliano ni nn??usipende kuingilia shughuli zilizokuzidi kimo utaumbuka..
😆😆😆Daah! Ila mkuu ulijua kuzuzua watu[emoji23]. Kuna jamaa alisema afanyiwe 75M alafu mwenye uzi anauza 55M[emoji23][emoji23]
Daah! Ila mkuu ulijua kuzuzua watu. Kuna jamaa alisema afanyiwe 75M alafu mwenye uzi anauza 55M![]()
![]()
![]()
Bei halisi ni hiyo 53M kama mteja yupo apige kwa namba hii 0763316426Daah! Ila mkuu ulijua kuzuzua watu[emoji23]. Kuna jamaa alisema afanyiwe 75M alafu mwenye uzi anauza 55M[emoji23][emoji23]
ila kufanya masihara kwenye shughuli za watu sio jambo jema mana unaweza fanya watu waone kama biashara ya masihara kumbe ni jambo serious typing error huwa zinatokea.ungeweza kuwaambia watu wanaouliza wapige namba iliyowekwa ila sio kufanya masihara uliyofanyaNishukuru hata nimekusaidia uzi wako umeenda enda kidogo. Hizi hapa chini umeanzisha wanajibu wawili wakizid wanne. Nyingine hajibu hata mtu
View attachment 2689980
NO, NOT AT ALL, 370M NO! and Kisosora not that much of a prime area ila kwa tanga ni mjini na sehemu ya zamani sana, ina jina.....370Mil,
Ipo prime area
Watu kama hawa ambao wanafanya masihara na biashara za watu huwa asilimia kubwa hawajui biashara huwa zinafanya vipi or wamezoea biashara zisizozidi laki mbiliDaah! Ila mkuu ulijua kuzuzua watu[emoji23]. Kuna jamaa alisema afanyiwe 75M alafu mwenye uzi anauza 55M[emoji23][emoji23]
Huyo aliejibu hiyo 370M kajijibia tu kujifurahisha na kuharibu biashara za watu.Bei halisi ni milioni 53 kama unauhitaji or una mtu mwenye uhitaji call 0763316426 kwa malezo sahihiNO, NOT AT ALL, 370M NO! and Kisosora not that much of a prime area ila kwa tanga ni mjini na sehemu ya zamani sana, ina jina.....
Haya bana,Ila
ila kufanya masihara kwenye shughuli za watu sio jambo jema mana unaweza fanya watu waone kama biashara ya masihara kumbe ni jambo serious typing error huwa zinatokea.ungeweza kuwaambia watu wanaouliza wapige namba iliyowekwa ila sio kufanya masihara uliyofanya