Shimo la choo la duara ukifanya mchezo 1.8M unailaza chiniHabari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote?
Thanks 🙏
View attachment 2489657View attachment 2489661
Hiyo ya kwanza mkuu wasikutishe kabisa. Ingawa naona unaweza ukimaliza kabisa na mambo ya kupiga lipu, lakini angalau utakuwa unapiga ukiwa humo humo! Tena ijenge nyuma kabisa iwe kama banda la uwani ili ukipata pesa nzuri ndiyo ujenge mbele ile kubwa!Habari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote?
Thanks 🙏
View attachment 2489657View attachment 2489661
Ndio ushujaa huoIla ujenzi si lelemamaa mweeh[emoji848][emoji848]
Yamenikuta hadi nimefirisikaa
Ndg mleta mada , nakushauri fanya kile moyo wako umeamua, million 7 ni nyingi mno, lkn pia ni chache sana ukizitumia pasipo kuwa na akili, ni chagua ramani uipendayo, kisha jenga msingi na boma, chagua vyumba vya kuanzia maisha Paua, piga lipu, vilivyobaki utakarabati taratibu kadri upatavyo pesa.Habari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote?
Thanks [emoji120]
View attachment 2489657View attachment 2489661
Mkuu habari? Hakuna nyumba kati ya hizo mbili itakayokamilika kwa 7M nashauri kama umepata 7M unaweza kupata 7M nyingine. Kiwanja unacho anaza mdogo mdogo sema kipaumbele kisiwe kuhamia hivi karibuni.Habari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote?
Thanks [emoji120]
View attachment 2489657View attachment 2489661
Inakuwaje kiongoziSijui kwa nini huwa napenda open
Tutafsirie hizo technical terms mkuuAkitoka huko chini atakuja kuweka level ya msingi kwa kutumia mchanga, atapanga mawe ataweka DPC kisha BRC kabla ya jamvi.
Atamwaga jambi la 25C.
Nyumba namba 1 unaweza kufikia sehem ya kukuruhusu kuishi ila finishing itakuwa bado ama utaifanya robo but unaeza kuishiHabari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote?
Thanks [emoji120]
View attachment 2489657View attachment 2489661
Kwa Milioni 7?Nyumba namba 1 unaweza kufikia sehem ya kukuruhusu kuishi ila finishing itakuwa bado ama utaifanya robo but unaeza kuishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa open kitchen una appliances za kutosha au ndo wataka jaza harufu sebureni