House4Rent Nyumba mpya na za kisasa zinapangisha Ubungo.

*FREMU KUBWA INAPANGISHWA*
inapatikana TABATA, BIMA
inatizama barabara ya lami
KODI: 120k (×6)
 
NYUMBA INAUZWA
_______________
IPO ; KIGAMBONI - KIBADA
____________________
MAHALI ; KIGAMBONI -
_______________
_______________
BEI; MILIONI MIA MBILI NA THALASINI (230,000,000) _________________
KIWANJA KINA HATI ZOTE ZA UMILIKI. SQM.700
__________________
VYUMBA VINNE VYA KULALA
________________________
#2_bedroom_master
#Sitting_room
#dinning_room
#slide_Windows
#puplic_toilet
#car_parking_space
#fancing
#full_Securty_services
___________
 
*JIPATIE HUDUMA BORA*
ZA VIWANJA NA MASHAMBA-MADOGO NA MAKUBWA:

*PIGA: 0684448888/0713415537

*WhatsApp-0684448888/0713415537

*Kiwanja cha kujenga Sheri kina offer kipo kisarawe2 kilomita 13 kutoka ferry*
qmt 3278
Bei milion 250

1:Luguruni kushoto kilomita 3
Ukubwa-20×40 Milion 13 tu
2:20x20=milion 6:5
Plot qmt 4000 acre 1: imepakana na hospital ya mlogazila
Bei milion 65

Luguruni eneo la kujenga kiwanda mita 125:5 Morogoro road
toka ofisi ya manisipaa ya mpya ya inapojengwa
Ya ubungo


*MAENEO YA KUJENGA SHERI*
*Kinyerezi -mbezi*

1lot no 1:qmt 4,000
Bei milion 200
2lot 2:qmt 5,000
Bei milion 400

*Morogoro road*
1:Makondeko qmt 4000
Bei milion 300

1:Kibamba
qmt- 8000
Bei milion 350 acre 2
2:qmt 8000 acre 2
Milion 350

*KIBAHA PWANI*
1:Kibaha kabla ya mail moja 70×70=au qmt -4000
Bei milion 100

2:Misugusugu acre 4
Sawa na qmt 16000
Bei milion 300tu
Maeneo yote full docoment
Piga
***********************

Unahitaji kiwanja kuazia milion 4, nakuendelea nipigie Epka usumbufu
Unapata viwanja luguruni kibamba hospital kilomita 3 nakuendelea

*Viwanja vimepimwa karibuni sana kilomita 2*
Kibamba-luguruni au hospital Morogoro road
Huduma mhimu zote zipo maji pia vimepimwa

1:qmt 931=milioni 14
2:qmt 1685 milion 26
3:qmt 1850 milion 29
4:qmt 3420 milioni 52
**********************
1:Eneo linauzwa korogwe kimara
Ukubwa qmt 3060
Bei milion 300
Umbali mita 300 kutoka Morogoro road
************************
Eneo kubwa ruvu acre 10 zinauzwa bei yakutupwa ruvu ya mlanandi eneo lina acre 12 eneo lakufugia lina bwawa acre 9 zote zakumwagili acre 3 zipo juu
Bei milion 12
**********************
2:Acre 50 unapita kiwangwa kidogo kama unaelekea msata barabarani kabisa zinauzwa kwenye lami limeaza kabisa acre milion 4 zipo acre 50 haya kwa wawekezaji karibu sana
Unaweza kupata 10,20 nk

******************
Plot inauzwa mbweni Kiharaka ukivuka mto full docoment
qmt 1432
Bei milion 55
*************************
1:Shamba kiwangwa bago acre 40 full docoment kilomita 2:5
Acre 1,shilingi 600,000
Mazungumzo yapo unaweza kununua acre 10 milion 6 zote mazungumzo yapo:
*************************
1:Eneo qmt 6000
Kigamboni ukuvuka daraja
Bei milion 500
 
Hakuna nyumba ya vyumba viwili ya 400,000 haijalishi mwenye nyumba amegharamia kiasi gani au ipo karibu na barabara kiasi gani cha msingi ni wateja wanaithaminisha vipi hio nyumba...
 
Hakuna nyumba ya vyumba viwili ya 400,000 haijalishi mwenye nyumba amegharamia kiasi gani au ipo karibu na barabara kiasi gani cha msingi ni wateja wanaithaminisha vipi hio nyumba...
Kwa upande wako hakuna ila kwa mwenye nyumba zipo, Amini usiamini Nimepeleka mteja wa 350,000 na analipa mwaka mzima na bado kakataa, so hapo utasema ni dalali, mimi hata mwenye nyumba akisema 250k mm nitafurahi kupata wateja kwa haraka.
 
Kwa upande wako hakuna ila kwa mwenye nyumba zipo, Amini usiamini Nimepeleka mteja wa 350,000 na analipa mwaka mzima na bado kakataa, so hapo utasema ni dalali, mimi hata mwenye nyumba akisema 250k mm nitafurahi kupata wateja kwa haraka.
Mimi sijasema dalali kasababisha ila nanchotaka ujue ni kwamba mteja haangalii gharama ulizofanya au nyumba ina thamani gani..mteja anaangalia yeye analipa kiasi gani
 
Mimi sijasema dalali kasababisha ila nanchotaka ujue ni kwamba mteja haangalii gharama ulizofanya au nyumba ina thamani gani..mteja anaangalia yeye analipa kiasi gani
Wateja wanatofautiana sana mkuu,
 
Wadau hiki kiwanja kinauzwa kipo wazo mji mpya kina sqmt 3000 kiwanja kizuri sna bei 30 milion kiwanja kizuri zana
 
Kiwanja kinauzwa kipo kigamboni gezaulole kina ukubwa wa square meter 960, kwenye ramani mita 500 kutoka lami kiwanja kimepimwa na kina hati safi kabisa...Bei ni million 33 ...wahi tufanye biashara
 
VIWANJA VINAUZWA GOBA KULANGWA WAHI UJIPATIE KIWANJA CHAKO

Viwanja vimepimwa na vina hati vipo tambarare
Viwanja vinaanzia square meter 388,400,500,600 na kuendelea hadi 3000
Mita 200 kutoka lami
Viwanja vipo vingi na bei ni sh 25,000 kwa square meter
400sqm= 10,000,000tsh
500sqm= 12,500,000tsh
600sqm= 15,000,000tsh
700sqm= 17,500,000tsh
Kuona ni Siku yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…