Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Hujui utajua tu,siku utakapofikisha miaka 65 kama ukibahatika,hujasomesha wanao,umeshastaafu kama ulikuwa unafanya kazi,mafao umekula na una watoto kila mtaa,wakati MUNGU anakubariki wewe ni kuhonga tu siku hiyo ndo utaisoma number kwa kiebrania


Hili nimelitambua. Najarbu kujitoa kwenye huu mtego wa kifedhuli.
 
Sisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia
Dunia ipi mnayo irun??????. Nyie ni chanzo cha familia nyingi kuteseka.
 
Sisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia


Acha Matusi. Mbulula ndio nini¿¿¿

Kutekwa na nyumba ndogo sio Ujinga, imetokea tu unplanned.
 
Hili nimelitambua. Najarbu kujitoa kwenye huu mtego wa kifedhuli.
sasa ni hivi block no zao wasikupate kabisa,rudisha mapenzi kwa mkeo,ule muda uliokuwa unautumia kwenda huko nenda home kacheze na wanao,,jumamosi nenda park,beach ,kigamboni zoo,au unapata berbecue na familia yako home,jpili kanisani naamini wewe ni mkristo maana nyie ndo mabingwa wa nyumba ndogo mnamuaibisha sana kristo
 
Duh yaelekea hata mkeo ilitokea tu mkaoana sorry mzee i gat u
Acha Matusi. Mbulula ndio nini¿¿¿

Kutekwa na nyumba ndogo sio Ujinga, imetokea tu unplanned.
 
Akili kichwani mwako ukisubiri za kuchangiwa utaharibikiwa mjaalana usonahaya mzinifu unamlaumu nani?


Acha matusi wewe!! Tuheshimiane.
 
mpango kando....duh unahitaji guide kuumiliki ipasavyo sio ukumiliki!!!
 

walikutumia kadi ya mwaliko?we hujatulia mwenyewe mana inaonekana unao wengi,hivyo acha kujifanya unalaani watoto wa wanaume wenzio,jilani kwanza wewe kwa kuchezea watoto za watu bila huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…