Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

amu na Azote mnapata shida gani kwa huyu mtu??
huyu ni yule THE BOSS wa nsee a muro kazi ipo sasa ngoma ndo mbichi ngoja nitafute soda na pocorn nitafune mie
 
Last edited by a moderator:
Ulaaniwe na wewe uliyewafata kwani walikuita? Ndio mkome hamtulizani na familia zenu kutwa kiguu na njia mkijiona wajanja
 
Kujivua gamba nimeshindwa. Wananiona kama Boya. I love you nyingi kumbe za wizi.
Mzee sasa hizo I love you si lazima uzilipie maana za bure nyumbani kwako umezikimbia sasa inabidi ulipie ili uone thamani yake. Kwa bahati mbaya unawalaani hao nyumba ndogo kwani msingezitafuta zingekuwepo. Huko bwana hakuna cha bure hadi salamu inalipiwa. Ile kumpa mkono tu lazima utoe pesa maana akitoa bure utadharau kama unavyodharau vya home kwako. hapa mwenye kulaaniwa ni wewe mzee usojiheshimu na kuipenda familia yako. Sasa hizo laana zinaanzia kwako mwisho kwa small house. Tena wamama wote ambao wanajua waume zao wana small house nao waanzishe utaratibu wa kuwalipisha mababa wa aina yako yaani mgaramie huduma zote mtakazohitaji toka kwao. Ukitaka maji ya kuoga unaweka pesa kwanza ndio unapelekewa na ukitaka ile huduma nyingine hiyo lazima utoe dau kubwa kabla ya shughuli yenyewe. Hii itawasaidia kuwathamini wake zenu.
 
amu na Azote mnapata shida gani kwa huyu mtu??
huyu ni yule THE BOSS wa nsee a muro kazi ipo sasa ngoma ndo mbichi ngoja nitafute soda na pocorn nitafune mie

hadi jina unalikumbuka.
Mi nalijua lile la usingizi.ile thread alikosekana kiranga tu nilitamanije aisome aicoment
 
Last edited by a moderator:
Napita umeyajua ukubwani ww ndo maana wanakumilik kama kama njiti kwenye ganda ikitolewa basi inaenda kuteketea tu ila poleeeeeeeeeeeeeeee
 
Akili kichwani mwako ukisubiri za kuchangiwa utaharibikiwa mjaalana usonahaya mzinifu unamlaumu nani?
Hahahahahaaha duh Mzee lazima akili yake itarudi lol maneno makai haya.Hebu yatafakari
 
Last edited by a moderator:
Hahahah, kama nakuona vile;,ila ungejilaani na wewe na akili zako za kushikiwa ingekuwa vyema.
We acha tu wamempa maneno hapa kama wa kuacha ataacha yaani hakuna aliempa ushirikiano lol. Wazee wa hivi ni majanga kwa familia halafu ndio wa kwanza kullaani watoto wao wanapowanyima misaada inapofika zamu yao.
 
Back
Top Bottom