Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Mzee kwani ulishikwa kwa nguvu? wewe umefuatanini kwa nyumba ndogo? au umefuata starehe ambazo umezikosa kwa mkeo kama 0712 kabaaang!!! blowjob nk nk, tulia kwako kama utapewa hizo starehe!
 
Last edited by a moderator:
Mnashindwa kuelewa kuwa hata shetani ana nguvu zake. Maneno ya kebehi na dharau si suluhisho.
 
Sisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia
siku ukiwa mke wa mtu ndio utajua maana ya @azota jisifie upumbavu humu bila kujua msumeno unakata pande mbili wewe dunia ni hiihii tunayoishi usifikiri kuna nyingine as long as we live what goes on mus come around .go on lady
 
Hahahahaaaa nivea kwani nimefanya nn?mbona sikuelewi?usininenee mabaya bishost kwan naanza kufikiria ndoa ujue
siku ukiwa mke wa mtu ndio utajua maana ya @azota jisifie upumbavu humu bila kujua msumeno unakata pande mbili wewe dunia ni hiihii tunayoishi usifikiri kuna nyingine as long as we live what goes on mus come around .go on lady
 
Haa haa haaa home ndo kila kitu mzee telekeza familia uone ilivo kazi
 
Mzee taratibu daaah
njoo pole pole.

Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!
 
Last edited by a moderator:
mzee poyoyo..nani kakwambia wanawake ni wazembe kias hcho..umeshndwa cmama imara na kuijali ht damu yako utamjali mtu baki?
 
Yaani mie nikipata kama huyu anaesahau kwake, halafu awe ananiletea stori za kwake hata kwangu hanifai naanza mashambulizi nambadilisha jinsi anavyoongea,anavyowaza,anavyocheka anakuwa kama mimi, na atakuwa aniwaza mimi tu mpaka akishituka mie nishamchoka kama kawa natupa kule, sasa ndio atakuja kulaani humu jf, hapo sasa atakuwa ameshajua kilichompindisha kasuku mdomo.
 
Duh! Mungu niepushe na haya majanga pind nikiwa na familia...
Ameeein
 
Acha mashairi yako wewe!!! Sisi watu wazima nyumba ndogo ni lazima na familia tunaziendesha kama kawaida. Tatizo lako wewe badala ya kumpa nyumba ndogo hadhi yake, unamfanya ndo nyumba kubwa, kalaghabaho!!! Akikuambia sweet I love you mtukane mkeo, unamtukana mkeo mbele yake. Nyumba ndogo anatakiwa akizungumza lolote baya au la dharau kwa familia yako, hasa mkeo na watoto kabla hajamalizia unmnasa kibao!!!
 
Acha mashairi yako wewe ! Sisi watu wazima kuwa na Nyumba Ndogo ni jambo la kawaida na familia zetu tunaziendesha kama kawaida. Tatizo lako wewe bdala ya kumpa Nyumba ndogo hadi yake, wewe unamfanya kama ndo wife...kalaghabaho!!! Nyumba Ndogo anatakiwa atambuwe kuwa uko kwake accidentally au by chance lakini wewe akikuita honey honey uko tayari hata kumtukana mkeo mbele yake. Nyumba Ndogo anapaswa kuwa na adabu kwa mkeo, akizungumza neno lolote la dharau au kashfa kwa mkeo au watoto wa mkeo inatakiwa kabla hata hajamaliza uwe umeshamnasa kibao !!! ukiweza hivyo hatutakusikia ukija hapa na kuanza kulialia kama demu!!!
 
Ulaaniwe ww uliyejipeleka mwenyewe halafu ww ulienda nyumba ndogo au nyumba ya udongo?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ni jambo jema kwakulijua hilo pia ni jambo jema kwakuweka hapa ili na wenye tabia kama yako wajifunze na kuacha
 
Back
Top Bottom