Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku ukiwa mke wa mtu ndio utajua maana ya @azota jisifie upumbavu humu bila kujua msumeno unakata pande mbili wewe dunia ni hiihii tunayoishi usifikiri kuna nyingine as long as we live what goes on mus come around .go on ladySisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia
siku ukiwa mke wa mtu ndio utajua maana ya @azota jisifie upumbavu humu bila kujua msumeno unakata pande mbili wewe dunia ni hiihii tunayoishi usifikiri kuna nyingine as long as we live what goes on mus come around .go on lady
Waambie hao hyo ndo habari ya mujini
Kujivua gamba nimeshindwa. Wananiona kama Boya. I love you nyingi kumbe za wizi.
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:
1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.
2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.
3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.
4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.
Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.
Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.
Mungu awalaani hadi mshangae!!
Mzee kwani walikubaka?? au walikuendea kwa sangoma??