Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Wengi mmeongea lakini ni vizuri kujua chanzo kilichomfanya mzee mpaka akaamua kuwa na nyumba ndogo,tusitake kutoa ushauri na kejeli ilhali hatujajua jinsi ya kutumia T3

tiGO ndo ilisababisha!!
 
wa hivyo alaaniwe kweli.
mi kuna mmoja alitaka nimfukuze wife. akawa anampigia wife na kumwabia eti ampishe - kuona hivyo nikakata kamba moja kwa moja.
Tutor B unakata kamba inayokatika tu.
 
Last edited by a moderator:
sasa ni hivi block no zao wasikupate kabisa,rudisha mapenzi kwa mkeo,ule muda uliokuwa unautumia kwenda huko nenda home kacheze na wanao,,jumamosi nenda park,beach ,kigamboni zoo,au unapata berbecue na familia yako home,jpili kanisani naamini wewe ni mkristo maana nyie ndo mabingwa wa nyumba ndogo mnamuaibisha sana kristo

Siyo hivyo mkuu. Yeye sasa hivi issue siyo wao kumsumbua kwa simu ama mawasiliano ya aina yoyote, bali anajuta maana sasa hivi wamemkimbia baada ya kuwa wamemuharibia including kumfilisi........!!!
 
Acha mashairi yako wewe!!! Sisi watu wazima nyumba ndogo ni lazima na familia tunaziendesha kama kawaida. Tatizo lako wewe badala ya kumpa nyumba ndogo hadhi yake, unamfanya ndo nyumba kubwa, kalaghabaho!!! Akikuambia sweet I love you mtukane mkeo, unamtukana mkeo mbele yake. Nyumba ndogo anatakiwa akizungumza lolote baya au la dharau kwa familia yako, hasa mkeo na watoto kabla hajamalizia unmnasa kibao!!!

Very good mkuu!!!!!!!
 
Mambo ya tiGO hayo......Maana kama alikuwa haipati kwa mkewe alipoenda mpango wa kando akagawiwa......Ndo hayo yaliyomkuta. kuja kutahamaki amefilisika!!!
Duuh! kweli shubiri huwa tamu na asali kuwa chungu...
 
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!
Pole, But it was your Choice, and you attended them Willingly
 
Wa kwanza kulaaniwa ni wewe mwenyewe uliyeshindwa kutulia kwenye ndoa yako.
 
Natengua kauli mzee, niwie radhi. Nzi kufia juu ya kidonda sio ufala ndio kupenda.

Sasa ulishapromote nyumba ndogo ikawa kubwa ili utafute nyumba ndogo zaidi? Nyumba ndogo ina utamu wake baba
king'ast Nimelaaniwa tena?
 
mie ckatai nyumba ndogo kweli na hakikisha watoto wanakula kabla mie na baba yao hatujasosomola manyama.
Tatizo lako nyumba ndogo yako inaendesha mambo kiswazi.
Ukimpata msomi wa kidijital kama mie usingekuja kulalamika home
[emoji16][emoji16]asante sana,,, kakutana na waswahili uko anakuja kutulalamikia uku. ..
 
Natengua kauli mzee, niwie radhi. Nzi kufia juu ya kidonda sio ufala ndio kupenda.

Sasa ulishapromote nyumba ndogo ikawa kubwa ili utafute nyumba ndogo zaidi? Nyumba ndogo ina utamu wake baba
Jamani msalimie Paw
 
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!
Tamaa zako ndio zilikuponza hakuna anae laaniwa hapo
 
Uniwie radhi mkuu siku zote mtu mwenye hekima hawezi laumu mtu mwingine kwa yanayomkuta kutokana na maamuzi yake mwenyewe ya kipuuzi
 
Back
Top Bottom