Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

hadi jina unalikumbuka.
Mi nalijua lile la usingizi.ile thread alikosekana kiranga tu nilitamanije aisome aicoment

siwez kulisahau jina hili manake limenifanya leo nicheke hadi mbavu ziniume. kuna haja ya memba kuwa tunapimwa akili manake khaaa!
 
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!

tb tb tb where are you dude help this guy here..
 
Madingi na Nyumba Ndogo.jpg
Mzee, kumbuka ulitunzwa namna hii!! haa haaa...hadi raha! Chezea kasmall house wewe!!!!
 
siwez kulisahau jina hili manake limenifanya leo nicheke hadi mbavu ziniume. kuna haja ya memba kuwa tunapimwa akili manake khaaa!

kuna mwingine kaja ma jery we acha tu jamani mmh
 
Last edited by a moderator:
Vipi aionee huruma familia au awathamini. Ikiwa wewe hukuwathamini
 
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!
yaani wewe mwenyewe huwaonei hrurma mke na mwanao and you expect nyumba ndogo to do so? unachekesha kweli. kwani huna utashi wa kujua kwamb familia yak inateseka kwa kuendekeza n/ndogo. unachefua kweli :/
 
Sisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia

nikiwe, achana kbs na hiyo Power.
Yaweza kumvuta mtu Uholanzi mpaka Gongo la Mboto kwa akina chama.
 
Last edited by a moderator:
We acha tu wamempa maneno hapa kama wa kuacha ataacha yaani hakuna aliempa ushirikiano lol. Wazee wa hivi ni majanga kwa familia halafu ndio wa kwanza kullaani watoto wao wanapowanyima misaada inapofika zamu yao.

Hamjaiona sense of humor kwenye post yake? Hii story sio real at least kwake maana imekaa kikuchekesha zaidi kuliko kujutia kwa mambo hayo. lakini pamoja na kwamba inaweza isiwe uhalisia wake au kwa kiwango alichokisema lakini inatokea kwa watu wengi sana, hivyo michango ya watu inafaa hata kama haimuhusu Mzee Moja kwa moja.

Watu wengi, wanaume zaidi kuliko wanawake wanatelekeza familia zako kwa penzi la nje; na just like always, it is someone's (else) fault.
 
Last edited by a moderator:
na bado mkikosa mnaanza kuwaambia wakezenu,Mke wangu siku hizi sipati hela.honey zinakua kibao,wakati mnazo badala ya kusave na kuwekeza nyie mnahonga,utajamba cheche

....na baadae atakunya baruti...
 
.....aaaaahh, kumbe ulinogewa? Kosa lako! Acha wenzio tutumie 'fursa'....
 
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!

kama wewe umeshindwa kujionea huruma na kuionea huruma familia yako, huyo mtu baki (nyumba dogo) ndio ataweza? we Mzee watu wapo ki maslahi zaidi ujue, maisha magumu na kazi hawana lazima wakugeuze office.

Cha msingi jali familia yako achana na nyumba ndogo!!!!
 
Last edited by a moderator:
Unalaani wakati ulifanya jitihada zote kupata hiyo nyumba ndogo? Hayo ndiyo matunda ya ulichopanda.
 
yaani nimecheka sana, sasa huyu mzee alikuwa anatafuta nini huko nyumba ndogo? kwanza hamna nyumba ndogo zote ni kubwa ila huduma zinazidiana. jamani, watu hawakuja dar kushangaa foleni za magari,
 
Kulikuwepo na thred humu ilikuwa inatoa guide ya kumiliki nyumba ndogo.. we hukuiona nin ndo maana yanakukuta haya. muulize The Boss.
 
Back
Top Bottom