Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

Hujui utajua tu,siku utakapofikisha miaka 65 kama ukibahatika,hujasomesha wanao,umeshastaafu kama ulikuwa unafanya kazi,mafao umekula na una watoto kila mtaa,wakati MUNGU anakubariki wewe ni kuhonga tu siku hiyo ndo utaisoma number kwa kiebrania


Hili nimelitambua. Najarbu kujitoa kwenye huu mtego wa kifedhuli.
 
Sisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia
Dunia ipi mnayo irun??????. Nyie ni chanzo cha familia nyingi kuteseka.
 
Sisi ama we mbulula unayetafuta mbunye za ziada nje?wanakufunga kamba?ila nakuelewa kuna kitu kinaitwa a power of a v.agina ndo inarun dunia


Acha Matusi. Mbulula ndio nini¿¿¿

Kutekwa na nyumba ndogo sio Ujinga, imetokea tu unplanned.
 
Hili nimelitambua. Najarbu kujitoa kwenye huu mtego wa kifedhuli.
sasa ni hivi block no zao wasikupate kabisa,rudisha mapenzi kwa mkeo,ule muda uliokuwa unautumia kwenda huko nenda home kacheze na wanao,,jumamosi nenda park,beach ,kigamboni zoo,au unapata berbecue na familia yako home,jpili kanisani naamini wewe ni mkristo maana nyie ndo mabingwa wa nyumba ndogo mnamuaibisha sana kristo
 
Duh yaelekea hata mkeo ilitokea tu mkaoana sorry mzee i gat u
Acha Matusi. Mbulula ndio nini¿¿¿

Kutekwa na nyumba ndogo sio Ujinga, imetokea tu unplanned.
 
mpango kando....duh unahitaji guide kuumiliki ipasavyo sio ukumiliki!!!
 
Naja mbele yenu. Majuto ni mjukuu. Nyumba ndogo, hawara ama mpango wa Kando. Naja kuwalaani:

1. Mmenifanya nimdharau mke wangu. Mke wangu ameishi kwa masikitiko na manyanyaso yote ni sababu yenu.

2. Familia yangu nimeitekeleza. Kila nikitakiwa kutoa pesa najiona kama naonewa, si jukumu langu tena. Imekuwa kama natoa msaada. Mmenifanya nini nyie viumbe mliolaaniwa.

3. Mmeichukua Furaha ya Familia yangu. Sina muda wa kukaa na familia yangu. Mmenifunga na kufungik. Nyie viumbe mso na Huruma.

4. Mmenimiliki kama Asset yenu. Akili yangu mmeishika ikashikika. Nimeshindwa kuwekeza chochote, pesa zote mmezifyonza kama Viwavijeshi wanavyokula Shambani. Kuweni na huruma. Ihurumieni familis yangu. Mungu yupo awalaani.

Hivi kweli mnamjua mungu kweli. Mmeshindwa kuionea hurum familia yangu, mmeshindwa kuwaonea huruma watoto wangu wanavyopata tabu. Kila mkiniona na senti mnajifany mna hamu, kumbe ni ili mniikwapue.

Penzi lenyewe la kupimiwa kama umeme wa Luku. Haupatu hadi ujaze fomu ya maombi.


Mungu awalaani hadi mshangae!!

walikutumia kadi ya mwaliko?we hujatulia mwenyewe mana inaonekana unao wengi,hivyo acha kujifanya unalaani watoto wa wanaume wenzio,jilani kwanza wewe kwa kuchezea watoto za watu bila huruma.
 
Back
Top Bottom