Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni mambo mazito hivyo ni lazima taratibu zake ziwe na uzito unaostahili vinginevyo tutampoteza kijana.😃😃 Sio cha maarifa?
Weka ear plugs wakafi wa kulala hautasikia vishindo vya wachawi
Kasema anasikia na siyo anaonaUmesahau milango mengine ya fahamu. Kuhisi na kuona.
Vioja haziishi kila sikuHamia mtaa wa saba ..
Nimekumbuka ule wimbo...
Sasa nimehamia mtaa wa saba...
unataka avutie majini??Achome udi unaonukia au marashi usiku..wale viumbe wabaya wataondoka nakubakia wale wazuri pekee..otherwise mtafute MshanaJR and Mzizimkavu watakusaidia
Wahi kula chakula cha usiku na pia jitahidi kutoshiba sana usiku1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Aongeze na kuchoma manemane, kuna kuna uchawi utawaona.