Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
watu wanatumia fursaNYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?
Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli
View attachment 3261124
π π π π πMaskini ya Mungu viongozi wetu. Wanatumia nguvu kubwa kutuongoza kwa ujira mdogo, kushindwa hata kumudu kupata kijumba cha kujihifadhi baada ya kustaafu.Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo.
Hizo nyumba mara nyingi zina room nyingi sana humo, sio mbili wa tatiNyumba ya kuishi inavyumba vingi kiasi Cha kutosha kuwa hotel?
Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo.
Ni huruma mno kaka hawa viongozi ni maskini wakutupwa kuliko sisi wananchi...angalia mtoto wa mwigulu anasoma shule ya Feza ambayo hawana walimu tena wanakaa tu chini pale...Abdul mtoto wa samia ni saidia tu wa ujenzi kule mvutiπ π π π πMaskini ya Mungu viongozi wetu. Wanatumia nguvu kubwa kutuongoza kwa ujira mdogo, kushindwa hata kumudu kupata kijumba cha kujihifadhi baada ya kustaafu.
Oooh maskiniπ₯π₯Nasikia benzi alilopewa limegeuzwa la kukodishia harusi kwenye misafara
Labda kwa rais wa awamu ya kwanza pekee, wengine waliofuata sivyo.Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo.
πNi huruma mno kaka hawa viongozi ni maskini wakutupwa kuliko sisi wananchi...angalia mtoto wa mwigulu anasoma shule ya Feza ambayo hawana walimu tena wanakaa tu chini pale...Abdul mtoto wa samia ni saidia tu wa ujenzi kule mvuti
Sema sasa,,utamuacha ππMkapa,JK,Mwinyi na Saa100, nitasema neno siku JK akikata moto.
mbowe ameinunua tayari kama ni proteaNYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?
Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo. View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli
View attachment 3261124