Unaweza kutangulia weweMkapa,JK,Mwinyi na Saa100, nitasema neno siku JK akikata moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kutangulia weweMkapa,JK,Mwinyi na Saa100, nitasema neno siku JK akikata moto.
Nakusoma vyema, lakini mwisho wa siku itabaki tu kuwa uzembe wa wananchi ambao hawaoni hili ni tatizo.Tunachosikitika ni kwamba raisi anapostaafu hujengewa nyumba nyingine kwa pesa za umma. Wakati majumba wanayo mpaka mengine yanageuzwa mahoteli.
Do you follow me?.
MBONA SIWAELEWI, AU DUNIA IMEKUWA NYUMA GEUKA HALAFU MIMI SINA HABARI!Ni huruma mno kaka hawa viongozi ni maskini wakutupwa kuliko sisi wananchi...angalia mtoto wa mwigulu anasoma shule ya Feza ambayo hawana walimu tena wanakaa tu chini pale...Abdul mtoto wa samia ni saidia tu wa ujenzi kule mvuti
Chini ya uongozi wake akishirikiaa na wazir wa ujenzi wa wakati huo bwana John Pombe Magufuli waliuza nyumba 845 za serikali kwa vigogo wa serikali.Hapo kwenye vipato vidogo hapo
😆😆😆😆Chini ya uongozi wake akishirikiaa na wazir wa ujenzi wa wakati huo bwana John Pombe Magufuli waliuza nyumba 845 za serikali kwa vigogo wa serikali.
Hii ni case kabisa najua huko mbele wazalendo watakuja kuifufua tu siku moja
Da, so many memories here.NYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?
Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo. View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli
View attachment 3261124
Nyumba aliyojengewa mkapa na serikali ilo masaki na haijageuzwa hotelNYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?
Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo. View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli
View attachment 3261124
Anaishi wkenye nyumba aliyojengewa nq serikaliWatu wameamua kutumia fursa, muhimu ni MAOKOTO.
Kwani mkewe anaishi nyumba ipi? Na iko sehemu gani?
Unafikiri katiba mpya ndo itazuia weziLabda imeuzwa,Ndio maana Katiba mpya ni muhimu maana viongozi wanaiba sana bila hata kuulizwa
Hapa Tanzania kikubwa uzima tu.Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo.
Nyumba aliyojengewa mkapa na serikali ilo masaki na haijageuzwa hotel
Hii ni nyumba aliyokua nayo tangu enzi na enzi
Wabongo nongwa sana
Protea ni chain of Hotels makao yake makuu ya South Africa. Wanafanya franchising so kama una mjengo mnaingia mkataba tu.mbowe ameinunua tayari kama ni protea
Itazuia kama sio kupunguza,hasa tukisema viongozi wezi wanyongweUnafikiri katiba mpya ndo itazuia wezi