Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna DC Siha,kipindi cha JK, mzee alikuwa, analala na kuamkia hapo!Sema sasa,,utamuacha 😂😂
Huo ni uamuzi wa familia, maana hiyo ni mali yao.
Tujadili Mgodi wa GGM? Ambako anahisa na alipewa gold 90 kgsPrivate property sioni kama ni habari ya kujadili
viongozi wana vipato vidogo sana😭😭Labda imeuzwa,Ndio maana Katiba mpya ni muhimu maana viongozi wanaiba sana bila hata kuulizwa
Huo ndio uwekezaji.Wapo watakaopata ajira za moja kwa moja na wapo watakaopata tenda za vyakula,samaki,nyama,nkNYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?
Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo. View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli
View attachment 3261124
Tujadili Mgodi wa GGM? Ambako anahisa na alipewa gold 90 kgs
Hiyo sawa kujadilika maana ni ufisadi
Hii alipewa na serikali au ni zile nyumba za serikali ambazo ziliuzwa kwa watumishi wake?
Maana Marehemu Mkapa ana nyumba pia ufukweni Masaki kule karibu na jeshi, nahisi kule ndipo alipojengewa na serikali...
Aliuza nyumba za MaRPC NA MaOCD🤣
Nafsi yako haikusuti kujiaminisha uongo?😀 😀 😀 😀 😀Maskini ya Mungu viongozi wetu. Wanatumia nguvu kubwa kutuongoza kwa ujira mdogo, kushindwa hata kumudu kupata kijumba cha kujihifadhi baada ya kustaafu.
Mungu naye,alimlamba mapemaHuyu mzee alikuwa ni shida. Fisadi aliyepitiliza
Sema tu mkuu, kifo hakina foleni kwamba akitoka huyu anafata yule.Mkapa,JK,Mwinyi na Saa100, nitasema neno siku JK akikata moto.