Nyumba ya aliyekuwa Rais wa Tanzania yageuzwa hoteli

Nyumba ya aliyekuwa Rais wa Tanzania yageuzwa hoteli

Hii alipewa na serikali au ni zile nyumba za serikali ambazo ziliuzwa kwa watumishi wake?

Maana Marehemu Mkapa ana nyumba pia ufukweni Masaki kule karibu na jeshi, nahisi kule ndipo alipojengewa na serikali...
Hii nyumba ni kipindi yuko waziri ,akipotoka madarakani akahamia masaki
 
NYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?

Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo. View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli

View attachment 3261124

Ukishakufa hakuna tena lako huku nyuma. Ukiacha mali halali unaweza kulala lwa amani. Imagine mali za kuunga unga halafu mjukuu anakuja na mambo yake ya this and that kibao
 
Mara utakuta wasanii, mashehe( baadhi) na maaskofu wakiitwa wakafuturu hapo
 
NYUMBA YA MKAPA YAGEUZWA KUWA HOTELI?

Nyumba ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa iliyopo Obama Drive, Sea View. jijini Dar es Salaam ambayo geti lake huwa linafungwa imeonekana ikiwa geti wazi huku ikiwekwa mabango ya Protea Hotel. Hii ni ishara kuwa nyumba hii imegeuzwa hoteli. Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Huwa inawajengea nyumba za kifahari maraisi wastafu kwa vile Huwa hawana uwezo wa kujenga nyumba zao na vipato vyao ni vidogo. View attachment 3261124 imegeuzwa kuwa hoteli

View attachment 3261124
Wangeifanya hata Museum ya Mzee mkapa...watu wajionee maisha yake A to Z, ila anyway sio vitu vyetu watanzania.
 
Watu wameamua kutumia fursa, muhimu ni MAOKOTO.

Kwani mkewe anaishi nyumba ipi? Na iko sehemu gani?
Nyumba waliojengewa na serikali ipo masaki, msasani peninsula. Hio ya upanga aliinunua na kipato chake kidogo, mtaa huo huo pia alinunua nyumba yenye azania bank, zamani M bank kwa mkopo uliotolewa siku ya jumapili na Bank enibisi
Watu wameamua kutumia fursa, muhimu ni MAOKOTO.

Kwani mkewe anaishi nyumba ipi? Na iko sehemu gani?
 
Back
Top Bottom