House4Sale Nyumba ya ghorofa moja inauzwa mbezi afrikana

Mkuu ni eneo zuri kwa kweli. Porojo nyingi hatuna pesa. Navyojua mimi mwenye uhitaji anasema alichonacho kama mnakubaliana biashara inafanyika. Mimi ntakuja kupaona
 
USD 370,000 Ni karibu Mil 838 za kitanzania. Yaani hiyo ilingane gharama karibu na zile za Lugumi... ? We jamaa acha utani.
Eheeee hivi why in the hell niweke hela kama hizo kwenye nyumba afterral sina bahati yake,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…