I don’t think so , mind you vitu vya marehem pia vimeharibika na mafuriko of which anasema ni kumbu kumbu muhimu kwao as family so point yako siipi nguvu sana
Yet she ain’t broke to such extent ya ku stage floods that’s a big no
Umeviona vitu vya marehemu vilivyoaribika? Zaidi ya zile meza za kioo na friji na kinanda na chupa za wine kwa nini watoe vingine wapeleke juu
insurance halipi tu bila kujilidhisha na Main share holders wakubali kusign
zamani alikua anasign mama mercy na mzee Mengi ili insurance Ilipe
Naona upo vizuri kwenye ngeli, tukikupa mgombea wa chama chetu, utaweza kumfundisha vizuri ?I don’t think so , mind you vitu vya marehem pia vimeharibika na mafuriko of which anasema ni kumbu kumbu muhimu kwao as family so point yako siipi nguvu sana
Yet she ain’t broke to such extent ya ku stage floods that’s a big no
Ahahaha 😂😂😂😂😂Insurance wanamlipa Natural disaster au frequent disaster au planned disaster . Kuna wakati mzee akiwa hai waliwahi letwa expatriets wa kuzuia mafuriko kwenye ile mansion nadhani walikula pesa yao wakawaachia mfereji kama ulivyo 😂😂😂😂😂Hataki kuishi kwenye Apartment anataka Kuishi kwenye Mansion ili ale vizuri hela za insurance na wanazengo wasimcheke akiama pale
Oooh ok okNi second house hiyo Ilikua ni special kwa michepuko Yake yote kuanzia wakina Madam Rita na wengineo
Ahame bondeniMjasiriamali na mwanamitindo maarufu, ambaye pia ni mjane wa aliyekua mfanyabiashara maarufu , the late Reginald mengi , Kupitia ukurasa wake wa Instagram , ame share video inayoonyesha mafuriko jinsi yalivyoikumba nyumba yake na kusambaratisha kila kitu .
Mwanamama huyo kwa masikitiko makubwa amasema mvua hyo imeharibu baadhi ya vitu ambavyo vilikua ni kumbu kumbu muhimu ya marehem mume wake.
View attachment 1606366
mume wakeView attachment 1606367
Child support hapati kwani?It might have been staged , ili alipwe na insurance ndio maana amewahi social media kutafuta huruma
Raisi tu wanaweza kutoboa somewhere Maji yaingie. Then alipwe na hivi kafulia ndio kabisa anapigia hesabu hela ya insurance [emoji23][emoji23]
Umeviona vitu vya marehemu vilivyoaribika? Zaidi ya zile meza za kioo na friji na kinanda na chupa za wine kwa nini watoe vingine wapeleke juu
insurance halipi tu bila kujilidhisha na Main share holders wakubali kusign
zamani alikua anasign mama mercy na mzee Mengi ili insurance Ilipe
DaahAkawaombe uzoefu yanga/utopolo wao huwa wana survive vipi pale jangwani.
[emoji23][emoji23][emoji23]No mafuriko mule ni home kwake, sema slyqueen kipindi kile mzee akiwa hai asingeweza kupost, tungemchamba
Watu wanapenda sana kuzusha conspiracy theory bila hata ushahidi.I don’t think so , mind you vitu vya marehem pia vimeharibika na mafuriko of which anasema ni kumbu kumbu muhimu kwao as family so point yako siipi nguvu sana
Yet she ain’t broke to such extent ya ku stage floods that’s a big no
ako na pesa ndiyo kiwahili gani?Tena sio ordinary Star , ni Star first class , na ako na pesa na anaweza lisha familia yako Mwaka mzima. Have a good day
It was not necessary to share this. Nadhani mtu mwenye staha anatakiwa ajwe ni kipi kitoke na kipi kisitoke. Hayo mafuriko yalikuwa yanatokea siku za nyuma, lakini mzee alipokuwepo, hiyo ilikuwa private matter. sasa kaondoka hayo yanakuwa for public consumption! Shame on her!Ahame bondeni
It was not necessary to share this. Nadhani mtu mwenye staha anatakiwa ajwe ni kipi kitoke na kipi kisitoke. Hayo mafuriko yalikuwa yanatokea siku za nyuma, lakini mzee alipokuwepo, hiyo ilikuwa private matter. sasa kaondoka hayo yanakuwa for public consumption! Shame on her!
Mkuu utalipwaje wakati hati ya nyumba haina jina lako[emoji23][emoji23]Hata kama humpendi k lyn.. unatudanganya sana... je mengi ana kampuni yake binafsi ya insurance anayoimiliki yeye mwenyewe?.. yaani insurance hailipi hadi mengi na mercy wasaini.. sasa hapo mercy na mengi ni wateja wa insurance au wamiliki wa insurance?
Kama wewe mteja wa insurance ndie unasaini ulipwe na unalipwa. Si utajisainia sana na kufilisi insurance companies?
Mengi na mercy ni client wa insurance .. client hana ruhusa ya maamuzi kama alipwe wala hasilipwe.. sababu kutakuwa na conflict of interest
Umekulupuka, umesoma soma kidogo ?anaetakiwa atoe claim ni mwenye Nyumba na mwenye hiyo nyumba ni IPP under Reginald Mengi and Mercy Mengi sio nyumba ya KylinHata kama humpendi k lyn.. unatudanganya sana... je mengi ana kampuni yake binafsi ya insurance anayoimiliki yeye mwenyewe?.. yaani insurance hailipi hadi mengi na mercy wasaini.. sasa hapo mercy na mengi ni wateja wa insurance au wamiliki wa insurance?
Kama wewe mteja wa insurance ndie unasaini ulipwe na unalipwa. Si utajisainia sana na kufilisi insurance companies?
Mengi na mercy ni client wa insurance .. client hana ruhusa ya maamuzi kama alipwe wala hasilipwe.. sababu kutakuwa na conflict of interest
Tena sio ordinary Star , ni Star first class , na ako na pesa na anaweza lisha familia yako Mwaka mzima. Have a good day
Umekulupuka, umesoma soma kidogo ?anaetakiwa atoe claim ni mwenye Nyumba na mwenye hiyo nyumba ni IPP under Reginald Mengi and Mercy Mengi sio nyumba ya Kylin
whatever happens lazima wawepo kuidhinisha/kutoa claims wenye mali ambao ni directors wa IPP waliopo sasa
mfano gari yenye jina lako ikipata ajali ndugu au mtu uliemkodisha aendeshe anaweza kwenda insurance company kudai?
Umekulupuka, umesoma soma kidogo ?anaetakiwa atoe claim ni mwenye Nyumba na mwenye hiyo nyumba ni IPP under Reginald Mengi and Mercy Mengi sio nyumba ya Kylin
whatever happens lazima wawepo kuidhinisha/kutoa claims wenye mali ambao ni directors wa IPP waliopo sasa
mfano gari yenye jina lako ikipata ajali ndugu au mtu uliemkodisha aendeshe anaweza kwenda insurance company kudai?