Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
I don’t think so , mind you vitu vya marehem pia vimeharibika na mafuriko of which anasema ni kumbu kumbu muhimu kwao as family so point yako siipi nguvu sana
Yet she ain’t broke to such extent ya ku stage floods that’s a big no
Umeviona vitu vya marehemu vilivyoaribika? Zaidi ya zile meza za kioo na friji na kinanda na chupa za wine kwa nini watoe vingine wapeleke juu
insurance halipi tu bila kujilidhisha na Main share holders wakubali kusign
zamani alikua anasign mama mercy na mzee Mengi ili insurance Ilipe