Nyumba ya KUB Mbowe ina CCTV, zinaweza kutoa ushahidi kama alianguka au alivamiwa

Nyumba ya KUB Mbowe ina CCTV, zinaweza kutoa ushahidi kama alianguka au alivamiwa

Huyu ndio aliempiga ngwara na kumkanyaga ahmada
IMG-20200609-WA0015.jpg
 
Hapo nimeuma wapi na nimepuliza wapi?.
Hapo kila nilichosema ni facts. KUB ana hadhi sawa na PM, hivyo anapewa nyumba, gari, dereva, wasaidizi, ofisi, wahudumu wa ofisi na msaidizi.
P
Kumbuka hawa jamaa walijitenga kwa ajili ya covid 19.
Je waliporudi nani alithibitisha kuwa walikuwa hawajichanganyi?
Inabidi wawe acessed siku zingine 14 ili ikithibitika hana shida kiafya apewe ulinzi.
Hizi move mimi natupia lawama serkali tu.
Kama vyombo vyetu vya usalama viko makini kitendawili hiki ni rahisi kukifungua

Je kujitenga kwao ilikuwa ni mbinu ili waweze kupanga mikakati likiwemo hili? Maana ulinzi usingekuwepo ku monitor nyendo zao.

Je iko mbinu ya chama tawala ili kuhafifisha cdm kuelekea uchaguzi?
 
Nadhani wabunge wa CCM wameishiwa hoja! Kila mbunge anatafakari atarudije mjengoni kwa hiyo akili zao haziko sawa.Kuna kizingiti cha kura za maoni kinawangoja.
 
Njaa ni kitu Kibaya sana. Omba Mungu isikimbilie Kichwani kama ya huyu Jamaa.Kawe Alumni...
Hao walinzi wake wakamatwe, inaonekana wao ndo walimpiga, pia mtu wa kwanza kupata hizo taarifa alikuwa nani?
Na ni nani alitoa taarifa.
 
Kweli kwa kauli na maneno yanayoendelea bungeni ni mambo ya kushangaza sana watu wamekosa hata utu kabisa.
Mfano yule Lijuhalikali hana adabu na ni mtovu wa nidhamu wa hali ya juu hata kama ni siasa sio sawa kumsema mtu mzima sawa na mzazi wako kwa maneno ya hovyo na machafu kiasi kile.!
 
Lissu aliposhambuliwa siku ya tatu au ya nne polisi Dom walisema hadharani kwamba wameanza uchunguzi kwa kuangalia CCTV Camera lakini inaonekana kuna mnene aliwaonya na hawakutoa kauli nyingine tena kuhusu CCTV Camera hivyo hata shambulizi hili la Mbowe si ajabu wasiojulikana wameshacheza nazo.

Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu.

Jana Msukuma kasema Mbowe alikuwa anakunywa Konyagi Kubwa (Faru John) na ndio iliyopelekea kuanguka na kuvunjika. Ndugai kasema madaktari wake walimjulisha kuwa Mbowe alikua amelewa chakari.

Kibajaj akasema alianguka akiwa na mwanamke na mwanamke huyo alikimbia. Waitara amemtaja mwanamke huyo kwa jina bungeni. Yani majungu majungu tu.

Kama kuna utata kuhusu kuvamiwa kwa Mbowe, utata huo unapaswa kumalizwa na mambo mawili tu.
#Mosi; Mbowe ana walinzi wa aina mbili. Wa serikali (TISS) na wa chama (Red Brigade). Serikali ilimuondolea Mbowe walinzi mwezi uliopita kwa sababu ya issue ya Covid19 walipotoka bungeni.

Lakini hata baada ya kurudi bungeni hakurudishiwa ulinzi. Hapa kuna kitu hakiko sawa. Kwanini viongozi wengine walibaki na walinzi kama issue ni Covid19? Na kwanini Mbowe hakurudishiwa ulinzi hata baada ya kurudi bungeni?

Wanaohoji kuhusu ulinzi wa Mbowe wanapaswa kuhoji mambo mawili. Kwanini serikali haikumrudishia ulinzi baada ya kurudi bungeni kisha wahoji walinzi binafsi wa Mbowe (red brigade) walikua wapi wakati anavamiwa.

#Pili; Nyumba anayoishi Mbowe ina CCTV 24hrs. Kwnn picha za CCTV zisiwekwe hadharani? Kama alianguka ataonekana na kama alivamiwa ataonekana pia. Kwanini tunapoteza muda kusigana kwenye jambo ambalo ukweli wake ni rahisi tu kupatikana?

Nyumba anayoishi akiwa Dodoma (kama KUB) ni ya serikali with CCTV system. Hata wanaoaccess "control room" ni maafisa wa serikali. Kwanini serikali isitoe hizo picha zinazoonesha Mbowe akianguka?

Kwa ninavyoijua serikali ya CCM ingekua kweli Mbowe kaanguka usiku akiwa na mwanamke na "Faru John" mkononi, nina uhakika wangeprint hizo picha na kuzisambaza kuanzia Lupiro kule Ulanga hadi Yombo Buza kwa Abiola.

Lakini ukiona serikali inakomaa kuwa Mbowe alianguka, lakini haitaki kutoa picha za CCTV, halafu serikali hiyohiyo ilimuondolea ulinzi mwezi mmoja tu uliopita, lazima uhisi kuna kitu. WaTZ wa leo sio wajinga.!
 
Wasije wakaenda kung'oa CCTV camera tena kama kwa Tundu Lissu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
It's true nyumba ya KUB ina CCTV, ila Mhe. Mbowe aligoma kuitumia, hivyo ndio ile iliyokuwa ikitumiwa na Lissu!. Kitu ambacho mimi sikijui ni labda kama baada ya Lissu kufutwa ubunge, Mhe. Mbowe hatimaye alikubali kuhamia kwenye hiyo nyumba rasmi ya KUB ambayo ni ya serikali, ina CCTV, ulinzi na wafanyakazi wote wakilipwa na serikali ikiwemo gari, dereva na msaidizi.
P
Ujumbe mzito Sana huu bila kutumia nguvu nyingi.
Paskal bwana!
 
Kuna mbunge jana kasema yeye ni jirani yake, labda kama huyo mbunge pia anakaa mtaani, otherwise ,Mbowe anaishi kwenye nyumba hizo za serikali
Nijuavyo Mbowe aligoma kuishi nyumba ya KUB akampa Lissu, sasa kama hatimaye alikuja kukubali kuitumia, this is news to me.
P
 
#Mosi; Mbowe ana walinzi wa aina mbili. Wa serikali (TISS) na wa chama (Red Brigade). Serikali ilimuondolea Mbowe walinzi mwezi uliopita kwa sababu ya issue ya Covid19 walipotoka bungeni.

Lakini hata baada ya kurudi bungeni hakurudishiwa ulinzi. Hapa kuna kitu hakiko sawa. Kwanini viongozi wengine walibaki na walinzi kama issue ni Covid19? Na kwanini Mbowe hakurudishiwa ulinzi hata baada ya kurudi bungeni?
Hawa wa Red brigade wameondolewa na nani?

#Pili; Nyumba anayoishi Mbowe ina CCTV 24hrs. Kwnn picha za CCTV zisiwekwe hadharani? Kama alianguka ataonekana na kama alivamiwa ataonekana pia. Kwanini tunapoteza muda kusigana kwenye jambo ambalo ukweli wake ni rahisi tu kupatikana?

Nyumba anayoishi akiwa Dodoma (kama KUB) ni ya serikali with CCTV system. Hata wanaoaccess "control room" ni maafisa wa serikali. Kwanini serikali isitoe hizo picha zinazoonesha Mbowe akianguka?
CCTV si zipo kwake? Nyumba si anakaa yeye? Sasa kwanini yeye mwenyewe asizitoe hadharani tukaona basi....
 
It's true nyumba ya KUB ina CCTV, ila Mhe. Mbowe aligoma kuitumia, hivyo ndio ile iliyokuwa ikitumiwa na Lissu!. Kitu ambacho mimi sikijui ni labda kama baada ya Lissu kufutwa ubunge, Mhe. Mbowe hatimaye alikubali kuhamia kwenye hiyo nyumba rasmi ya KUB ambayo ni ya serikali, ina CCTV, ulinzi na wafanyakazi wote wakilipwa na serikali ikiwemo gari, dereva na msaidizi.
P

Kitu kinachotakiwa hivi sasa Mbowe pamoja na CHADEMA watoe taarifa iliyo sahihi. Je, baada ya mkutano wa chama ambao ulikiwisha usiku sana Mbowe alikwenda wapi? Je, ni kwanini Mbowe hakupelekwa kwenye Hospitali kubwa na sio kituo cha afya? Wapi ni mbali zaidi kwenye kituo cha afya au Hospitalini? Imeripotiwa kwamba alifikishwa kwenye huduma majira ya saa 8/9 usiku Je, ni kweli?
 
Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu.

Jana Msukuma kasema Mbowe alikuwa anakunywa Konyagi Kubwa (Faru John) na ndio iliyopelekea kuanguka na kuvunjika. Ndugai kasema madaktari wake walimjulisha kuwa Mbowe alikua amelewa chakari. Kibajaj akasema alianguka akiwa na mwanamke na mwanamke huyo alikimbia. Waitara amemtaja mwanamke huyo kwa jina bungeni. Yani majungu majungu tu.

Kama kuna utata kuhusu kuvamiwa kwa Mbowe, utata huo unapaswa kumalizwa na mambo mawili tu.

#Mosi; Mbowe ana walinzi wa aina mbili. Wa serikali (TISS) na wa chama (Red Brigade). Serikali ilimuondolea Mbowe walinzi mwezi uliopita kwa sababu ya issue ya Covid19 walipotoka bungeni.

Lakini hata baada ya kurudi bungeni hakurudishiwa ulinzi. Hapa kuna kitu hakiko sawa. Kwanini viongozi wengine walibaki na walinzi kama issue ni Covid19? Na kwanini Mbowe hakurudishiwa ulinzi hata baada ya kurudi bungeni?

Wanaohoji kuhusu ulinzi wa Mbowe wanapaswa kuhoji mambo mawili. Kwanini serikali haikumrudishia ulinzi baada ya kurudi bungeni kisha wahoji walinzi binafsi wa Mbowe (red brigade) walikua wapi wakati anavamiwa.

#Pili; Nyumba anayoishi Mbowe ina CCTV 24hrs. Kwnn picha za CCTV zisiwekwe hadharani? Kama alianguka ataonekana na kama alivamiwa ataonekana pia. Kwanini tunapoteza muda kusigana kwenye jambo ambalo ukweli wake ni rahisi tu kupatikana?

Nyumba anayoishi akiwa Dodoma (kama KUB) ni ya serikali with CCTV system. Hata wanaoaccess "control room" ni maafisa wa serikali. Kwanini serikali isitoe hizo picha zinazoonesha Mbowe akianguka?

Kwa ninavyoijua serikali ya CCM ingekua kweli Mbowe kaanguka usiku akiwa na mwanamke na "Faru John" mkononi, nina uhakika wangeprint hizo picha na kuzisambaza kuanzia Lupiro kule Ulanga hadi Yombo Buza kwa Abiola.

Lakini ukiona serikali inakomaa kuwa Mbowe alianguka, lakini haitaki kutoa picha za CCTV, halafu serikali hiyohiyo ilimuondolea ulinzi mwezi mmoja tu uliopita, lazima uhisi kuna kitu. WaTZ wa leo sio wajinga.!
 
Yana mwisho haya..! acha watuumize na kisha kupiga propaganda zao. Waache wajione wajuaji sana.
Zamu yao ya kulia na kusaga meno itafika tu.
 
It's true nyumba ya KUB ina CCTV, ila Mhe. Mbowe aligoma kuitumia, hivyo ndio ile iliyokuwa ikitumiwa na Lissu!. Kitu ambacho mimi sikijui ni labda kama baada ya Lissu kufutwa ubunge, Mhe. Mbowe hatimaye alikubali kuhamia kwenye hiyo nyumba rasmi ya KUB ambayo ni ya serikali, ina CCTV, ulinzi na wafanyakazi wote wakilipwa na serikali ikiwemo gari, dereva na msaidizi.
P
Kwa lissu ilisemwa ni nyumba ya lissu au jirani yake kalemani(alipinga) kuwa ndio ina cctv?
 
Back
Top Bottom