Nyumba ya KUB Mbowe ina CCTV, zinaweza kutoa ushahidi kama alianguka au alivamiwa

Nyumba ya KUB Mbowe ina CCTV, zinaweza kutoa ushahidi kama alianguka au alivamiwa

Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu.

Jana Msukuma kasema Mbowe alikuwa anakunywa Konyagi Kubwa (Faru John) na ndio iliyopelekea kuanguka na kuvunjika. Ndugai kasema madaktari wake walimjulisha kuwa Mbowe alikua amelewa chakari.

Kibajaj akasema alianguka akiwa na mwanamke na mwanamke huyo alikimbia. Waitara amemtaja mwanamke huyo kwa jina bungeni. Yani majungu majungu tu.

Kama kuna utata kuhusu kuvamiwa kwa Mbowe, utata huo unapaswa kumalizwa na mambo mawili tu.
#Mosi; Mbowe ana walinzi wa aina mbili. Wa serikali (TISS) na wa chama (Red Brigade). Serikali ilimuondolea Mbowe walinzi mwezi uliopita kwa sababu ya issue ya Covid19 walipotoka bungeni.

Lakini hata baada ya kurudi bungeni hakurudishiwa ulinzi. Hapa kuna kitu hakiko sawa. Kwanini viongozi wengine walibaki na walinzi kama issue ni Covid19? Na kwanini Mbowe hakurudishiwa ulinzi hata baada ya kurudi bungeni?

Wanaohoji kuhusu ulinzi wa Mbowe wanapaswa kuhoji mambo mawili. Kwanini serikali haikumrudishia ulinzi baada ya kurudi bungeni kisha wahoji walinzi binafsi wa Mbowe (red brigade) walikua wapi wakati anavamiwa.

#Pili; Nyumba anayoishi Mbowe ina CCTV 24hrs. Kwnn picha za CCTV zisiwekwe hadharani? Kama alianguka ataonekana na kama alivamiwa ataonekana pia. Kwanini tunapoteza muda kusigana kwenye jambo ambalo ukweli wake ni rahisi tu kupatikana?

Nyumba anayoishi akiwa Dodoma (kama KUB) ni ya serikali with CCTV system. Hata wanaoaccess "control room" ni maafisa wa serikali. Kwanini serikali isitoe hizo picha zinazoonesha Mbowe akianguka?

Kwa ninavyoijua serikali ya CCM ingekua kweli Mbowe kaanguka usiku akiwa na mwanamke na "Faru John" mkononi, nina uhakika wangeprint hizo picha na kuzisambaza kuanzia Lupiro kule Ulanga hadi Yombo Buza kwa Abiola.

Lakini ukiona serikali inakomaa kuwa Mbowe alianguka, lakini haitaki kutoa picha za CCTV, halafu serikali hiyohiyo ilimuondolea ulinzi mwezi mmoja tu uliopita, lazima uhisi kuna kitu. WaTZ wa leo sio wajinga.!
Mbona povu jingi, kwani taarifa ya uchunguzi imetoka??

Mbona mna haraka subirini taarifa rasmi ya POLISI kuhusiana na tukio tajwa.

Yote tutayajua humu, acheni kuharibu upelelezi.
 
Siku Lissu anashambuliwa nyumba hiyo ilikuwa na CCTV na zilikuwa zinafanya kazi, baada ya shambulio ziliondolewa!. Kalemani was right kupinga kwasababu hizo CCTV cameras hakuziweka yeye!.
P
Maana yake wasiojulikana wanajulikana.
Asante P
 
Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu.

Jana Msukuma kasema Mbowe alikuwa anakunywa Konyagi Kubwa (Faru John) na ndio iliyopelekea kuanguka na kuvunjika. Ndugai kasema madaktari wake walimjulisha kuwa Mbowe alikua amelewa chakari.

Kibajaj akasema alianguka akiwa na mwanamke na mwanamke huyo alikimbia. Waitara amemtaja mwanamke huyo kwa jina bungeni. Yani majungu majungu tu.

Kama kuna utata kuhusu kuvamiwa kwa Mbowe, utata huo unapaswa kumalizwa na mambo mawili tu.
#Mosi; Mbowe ana walinzi wa aina mbili. Wa serikali (TISS) na wa chama (Red Brigade). Serikali ilimuondolea Mbowe walinzi mwezi uliopita kwa sababu ya issue ya Covid19 walipotoka bungeni.

Lakini hata baada ya kurudi bungeni hakurudishiwa ulinzi. Hapa kuna kitu hakiko sawa. Kwanini viongozi wengine walibaki na walinzi kama issue ni Covid19? Na kwanini Mbowe hakurudishiwa ulinzi hata baada ya kurudi bungeni?

Wanaohoji kuhusu ulinzi wa Mbowe wanapaswa kuhoji mambo mawili. Kwanini serikali haikumrudishia ulinzi baada ya kurudi bungeni kisha wahoji walinzi binafsi wa Mbowe (red brigade) walikua wapi wakati anavamiwa.

#Pili; Nyumba anayoishi Mbowe ina CCTV 24hrs. Kwnn picha za CCTV zisiwekwe hadharani? Kama alianguka ataonekana na kama alivamiwa ataonekana pia. Kwanini tunapoteza muda kusigana kwenye jambo ambalo ukweli wake ni rahisi tu kupatikana?

Nyumba anayoishi akiwa Dodoma (kama KUB) ni ya serikali with CCTV system. Hata wanaoaccess "control room" ni maafisa wa serikali. Kwanini serikali isitoe hizo picha zinazoonesha Mbowe akianguka?

Kwa ninavyoijua serikali ya CCM ingekua kweli Mbowe kaanguka usiku akiwa na mwanamke na "Faru John" mkononi, nina uhakika wangeprint hizo picha na kuzisambaza kuanzia Lupiro kule Ulanga hadi Yombo Buza kwa Abiola.

Lakini ukiona serikali inakomaa kuwa Mbowe alianguka, lakini haitaki kutoa picha za CCTV, halafu serikali hiyohiyo ilimuondolea ulinzi mwezi mmoja tu uliopita, lazima uhisi kuna kitu. WaTZ wa leo sio wajinga.!
SASA HAO WANAOSEMA ALIKUWA NA MWANAMKE NI KUWADHALILISHA TU MAMA ZETU. HALAFU WANAWAKE WA CCM WANACHEKA BADALA YA KUSIKITIKA KUDHALILISHWA. UKIWA CCM AKILI IPO CHOONI
 
Mleta mada umeweka uzi wa maana na maswali mengi mazuri.

Lakini maswali muhimu ya kujiuliza ni.
1. Chadema kinajua kuwa hawako vizuri na awamu ya tano , jee kwa nini hawawi wako very cautious.

2. Kiongozi wao Lissu kapigwa risasi kwenye mazingira kama hayo, wanayosema yamemkuta Mbowe. Jee wao kama chama kikubwa cha upinzani kwa nini hawakuchukua tahadhari zaidi ya kutegemea ya serekali tuu.

3. Tunajua chadema hawana imani na lolote watakalofanyiwa na serekali, hata mazuri yanayofanywa wao kama chama kikuu cha upinzani lazima wayapindishe. Jee inakuwajee wakaamini ulinzi wa serekali. Pili walinzi walioshaondolewa, waliweka utaratibu gani wa kumchunga kiongizi number 1 wachama chao. Jee hapo hauoni kuna ugoigoi wa usalama ndani ya chama.

4. Hizo cctv ndani ya nyumba, za serekali ziko kwa njee, chadema wana walinzi wao wanaowalipa, na wameweka cctv zao ndani na njee, haswa baada ya tukio la Lissu, kama ni kweli kavamiwa na wasiojulikana, na ushahidi wao wanao, kwa nini wasiuweke wazi, tukajionea uonevu wa serekali kama msemavyo. Hii inaelekea kama ule ushahidi wa bomu la Arusha ambao Mbowe alituambia anayo video ikionyesha polisi akirusha bomu, na mpaka leo ni miaka 6 hatujauona huo ushahidi.

5. Jee kama sio ukweli Mbowe alikuwa amelewa vibaya sana na alikuwa na mwanamke wa njee ya ndoa, basi hizo kelele zisingepungua , hatuzioni tena hizo kelele. Pili kwa nini kiongozi aliyevunjwa mguu na kujeruhiwa vibaya, anapelekwa dispensary kutibiwa baada ya kupelekwa hospitali,

Kuna jambo chadema haliko sawa.
 
CCM hawana hoja...wamebakia kutumia mabavu kutisha viongozi na kubadilisha sheria za uchaguzi dk za majeruhi ili walau watoe mlisi.

Hii itawacost...dunia ya leo si ya miaka ya 80s'..huwezi kutawala nchi yako utakavyo wewe!!

Weka uchunguzi huru ili ujisafishe vinginevyo tuhuma zote zinakuangukia weye kwamba muhusika katika tukio zima.
Uchunguzi huru utafukua madudu yenu ya mipango ya nani apeperushe bendera ya chama. Jee kuna mikakati ya kumkata lissu asiwe mgombea . Jee kuna mkakati wa ushirikiano kati ya Chadema na ACT na mbiwe ameshakubaliana na zitto ndio awe mpeperusha bendera na Mbowe PM, na iwapo watabahatika kuunda serekali ya mseto, basi chadema watapewa wizara 3 muhimu.
 
Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu.

Kwa ninavyoijua serikali ya CCM ingekua kweli Mbowe kaanguka usiku akiwa na mwanamke na "Faru John" mkononi, nina uhakika wangeprint hizo picha na kuzisambaza kuanzia Lupiro kule Ulanga hadi Yombo Buza kwa Abiola.

Lakini ukiona serikali inakomaa kuwa Mbowe alianguka, lakini haitaki kutoa picha za CCTV, halafu serikali hiyohiyo ilimuondolea ulinzi mwezi mmoja tu uliopita, lazima uhisi kuna kitu. WaTZ wa leo sio wajinga.!

Maswali uliyouliza hakika ni ya msingi. Bunge, Taasisi kubwa, haikupaswa na haipaswi kushabikia mambo ya udaku, yasiyokuwa na ushahidi usio na mashaka.

Labda kwa kuongezea, viongozi wa CHADEMA nao hawakupaswa kukurupuka kutangazia umma kuwa shambulio hilo ni la kisiasa kwa kuwa mazingira yake yanaibua maswali kadhaa kama ifuatavyo:-
1) Mbowe inadaiwa alishambuliwa usiku wa manane akiingia nyumbani kwake. Je, alikuwa anatoka wapi na walinzi wake walikuwa wapi?
2) Baada ya kushambuliwa alimtaarifu nani wakati majirani wamekuja kujua baadaye?
3) Kwa nini alikwenda hospitali ndogo, binafsi, badala ya kubwa ambazo yeye kama KUB angepata huduma stahiki ya madaraka aliyo nayo (VIP)?
4) Kwa kuwa ni shambulio na kujeruhiwa, kiutaratibu alipaswa kupata PF3 ya Polisi kabla ya kutibiwa au hata wakati anaendelea na matibabu, kwa ajili ya upelelezi na hatimaye mashitaka kwa waliomshambulia?
5) Daktari aliyempa huduma ya tiba alithibitisha kuwa alikamilisha na Mbowe angerejea katika hali yake njema baada ya muda mfupi. Kwa nini CHADEMA iliamua kumpeleka Dar?
6) Inatia shaka ya kumpeleka hospitali binafsi Dar wakati Muhimbili imeimarishwa na ndiyo hospitali kubwa ya rufaa hapa nchini?

Kwa kuwa suala liko mikononi mwa Polisi kwa uchunguzi, kwa sababu TU ya wadhifa wake, kwa maana hakuna jalada la malalamiko, tusubiri matokeo ya uchunguzi huo, ikiwa ni pamoja na ukubwa wa majeraha aliyopata, kupelekea kupelekwa Dar kwa ndege ya kukodi, tena kwenye hospitali binafsi. Ikumbukwe kuwa gharama zote hizo zinalipwa kwa pesa ya mlipa kodi na chama chenye viongozi, akiwemo Mbowe mwenyewe, ambao huishutumu Serikali, hasa Rais, kwa matumizi mabaya ya fedha za umma, na hata pale zinapotumika kwa miradi ya maendeleo.
 
Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu.

Jana Msukuma kasema Mbowe alikuwa anakunywa Konyagi Kubwa (Faru John) na ndio iliyopelekea kuanguka na kuvunjika. Ndugai kasema madaktari wake walimjulisha kuwa Mbowe alikua amelewa chakari.

Kibajaj akasema alianguka akiwa na mwanamke na mwanamke huyo alikimbia. Waitara amemtaja mwanamke huyo kwa jina bungeni. Yani majungu majungu tu.

Kama kuna utata kuhusu kuvamiwa kwa Mbowe, utata huo unapaswa kumalizwa na mambo mawili tu.
#Mosi; Mbowe ana walinzi wa aina mbili. Wa serikali (TISS) na wa chama (Red Brigade). Serikali ilimuondolea Mbowe walinzi mwezi uliopita kwa sababu ya issue ya Covid19 walipotoka bungeni.

Lakini hata baada ya kurudi bungeni hakurudishiwa ulinzi. Hapa kuna kitu hakiko sawa. Kwanini viongozi wengine walibaki na walinzi kama issue ni Covid19? Na kwanini Mbowe hakurudishiwa ulinzi hata baada ya kurudi bungeni?

Wanaohoji kuhusu ulinzi wa Mbowe wanapaswa kuhoji mambo mawili. Kwanini serikali haikumrudishia ulinzi baada ya kurudi bungeni kisha wahoji walinzi binafsi wa Mbowe (red brigade) walikua wapi wakati anavamiwa.

#Pili; Nyumba anayoishi Mbowe ina CCTV 24hrs. Kwnn picha za CCTV zisiwekwe hadharani? Kama alianguka ataonekana na kama alivamiwa ataonekana pia. Kwanini tunapoteza muda kusigana kwenye jambo ambalo ukweli wake ni rahisi tu kupatikana?

Nyumba anayoishi akiwa Dodoma (kama KUB) ni ya serikali with CCTV system. Hata wanaoaccess "control room" ni maafisa wa serikali. Kwanini serikali isitoe hizo picha zinazoonesha Mbowe akianguka?

Kwa ninavyoijua serikali ya CCM ingekua kweli Mbowe kaanguka usiku akiwa na mwanamke na "Faru John" mkononi, nina uhakika wangeprint hizo picha na kuzisambaza kuanzia Lupiro kule Ulanga hadi Yombo Buza kwa Abiola.

Lakini ukiona serikali inakomaa kuwa Mbowe alianguka, lakini haitaki kutoa picha za CCTV, halafu serikali hiyohiyo ilimuondolea ulinzi mwezi mmoja tu uliopita, lazima uhisi kuna kitu. WaTZ wa leo sio wajinga.!
Ndugu yangu Kwa ulimwengu wa leo kungangania CCTV ni kushindwa kuukubali ukweli kwamba hata wahalifu wanaenda na technology hiyo.
Kama serikali walitaka kufanya Yao lazima washughulikie hizo CCTV Kwanza
Kama ni Mbowe ndio kalewa akataka kuipakazia Serikali basi lazima acheze na CCTV Kwanza.
Mtu anayehoji CCTV basi anaowaona wahalifu hawana akili au yeye ndio Hana akili Kwa kufikiri TISS wataiacha au Mbowe ni mjinga alewe alafu achaache ushahidi
 
Back
Top Bottom