Njoo ufurahi
MmmhStory Iko vizuri inahamasisha kuendelea kusoma!!
Asante kwa tag mkuu
Hapa tunatoa arosto maana Steve anatuweka sanaπStory Iko vizuri inahamasisha kuendelea kusoma!!
Asante kwa tag mkuu
Watu wa huko wanapenda sana magazijuto eenh?Nivoona Shinyanya then madini hapoo najua mauzauza hayakosiiii!!
Hapa tunatoa arosto maana Steve anatuweka sanaπ
Magazijutoππππ!Watu wa huko wanapenda sana magazijuto eenh?
Steve anapenda kutuweka tu kwa sababu mwezi uliopita alikiri katumiwa kosa choteπ ila anadai anakipangiliaKabisa mkuu umeona eeehhh!!
Sema mwamba Ni mzeiya wa kutupiabusiku mkali
Analinda pikipiki yake jamanKabisa mkuu umeona eeehhh!!
Sema mwamba Ni mzeiya wa kutupia usiku mkali
Aisee sipendi kuishi sehemu zenye hekaheka za namna hiyo.Magazijuto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]!
Huku nukseee sana wa vipaji! Yanii hapafai kabisa!
Yeah alisema hivo ila eti huwa anatupia usiku kwani muda huo anakua macho kulinda pikipiki yake ππ( Joking)Steve anapenda kutuweka tu kwa sababu mwezi uliopita alikiri katumiwa kosa choteπ ila anadai anakipangilia
π€£ππππ! Abiria chunga mzigo wako ohoooππAnalinda pikipiki yake jaman
Haya yalijulikana vipi?!...Baada ya mume kuuawa kwa kupigwa risasi, Deborah alichinjwa na wale majambazi yeye na wanawe wote watatu. Kisha ikachukuliwa hydrofluoric acid na kutumika kuyeyusha miili hiyo ndani ya shimo kubwa lililo chimbwa huko ndani. Baada ya hapo pakafukiwa vizuri na wakachinjwa mbuzi wawili hapo hapo.