Nyumba ya Maajabu Masaki!

Nyumba ya Maajabu Masaki!

Hii ya mufindi kabisa [emoji478][emoji478][emoji477][emoji478][emoji478]
FB_IMG_1674727224186.jpg
 
...Baada ya mume kuuawa kwa kupigwa risasi, Deborah alichinjwa na wale majambazi yeye na wanawe wote watatu. Kisha ikachukuliwa hydrofluoric acid na kutumika kuyeyusha miili hiyo ndani ya shimo kubwa lililo chimbwa huko ndani. Baada ya hapo pakafukiwa vizuri na wakachinjwa mbuzi wawili hapo hapo.
Haya yalijulikana vipi?!
Pls tag me ukiendeleza hii story
 
Back
Top Bottom