Nyumba ya Maajabu Masaki!

Mkuu kimsingi hii chai elewa utakavyoelewa, shushia na chapati zako baaasi...

Ukilazimisha ieleweke utapata homa mkuu, kuna dosari nyingi sana sana yaani sanaaaa...
 
Kuwa serious basi, risasi zipigwe ushuani polisi wasifike?

mi pia nimejiuliza nikasema mmh labda risasi zisizo na sauti kwa wote[emoji2378] ila nilipofika kwa joka linaongea nikasema chai hiiya tangawizi[emoji16]
 
Kuwa serious basi, risasi zipigwe ushuani polisi wasifike?
Huyu mwamba hapajui Masaki anaamini watu wapo bize kiasi hicho πŸ˜‚πŸ˜‚ itakuwa anaishi kwa stori za kijiweni tumvumilie tu Mkuu.
 
Mhariri Mkuu wa hadithi nimefika. kwanza waombe radhi walaji. wengi wamenitafuta wakitaka niseme neno. nimeisoma hadithi. mtungaji si lazima useme ni kweli yametokea. pia uongo ni mwingi yaani nashindwa hata nianzie wapi. wadau wameomba kuwa ujitahidi basi uwaheshimu usiwaone wao mafala sana. maana wanaona kama unawadhalilisha sana unawachukulia wao kama watoto.
 
Analyse hivi unajua mademu wa kimeru ni wazuriπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜¬πŸ€£
Now you’re talking broh! I might be one of your minions hahahaaa! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ile rangi aseeh! Kwisha habari ya mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…