Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ila nae mrombo [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] mm ni mmeru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nae mrombo [emoji28]
Kumbe jamaa ni mzimu? 😅😅Sio uko ww uoni gily ni kama mzimu wa msisili
Ila unatokea rombo?[emoji23][emoji23][emoji23] mm ni mmeru
Mkuu kimsingi hii chai elewa utakavyoelewa, shushia na chapati zako baaasi...........Mbwa walibweka bila matumaini. Aliyekuwa ndani alianza na TV alipokuwa anaibeba ili aitoe nje aliteleza nayo na kuangukia kichwa umauti ukamfika hapo hapo na damu zikichuruzika, yule aliyekuwa nje kwasababu alisikia kishindo ikabidi aende kuchungulia akamkuta mwenzie chalii na damu zimetapakaa. Hivo akaona huu ushakuwa mkosi na kilichobaki ni kusepa. Kwaio walipokuwa ndani walivunja mlango kwa ndani na geti pia dogo walivunja komeo. Walipakiana kwenye pikipiki na kuanza mwendo ila hawakufika mbali hata mbali kutokana na mwendo kasi na wenge walivaana uso kwa uso na land cruiser........
IKIWA KAMA WOTE WALIFARIKI JE IYO TAARIFA YA IYO SCENE YAO IMETOLEWA NA NANI AU SITTING ROOM ILIKUWA NA CCTV
Kumbe jamaa ni mzimu? [emoji28][emoji28]
Ila unatokea rombo?
Kuwa serious basi, risasi zipigwe ushuani polisi wasifike?
Huyu mwamba hapajui Masaki anaamini watu wapo bize kiasi hicho 😂😂 itakuwa anaishi kwa stori za kijiweni tumvumilie tu Mkuu.Kuwa serious basi, risasi zipigwe ushuani polisi wasifike?
Now you’re talking broh! I might be one of your minions hahahaaa! 😂😂😂 ile rangi aseeh! Kwisha habari ya mimi 😂😂😂Analyse hivi unajua mademu wa kimeru ni wazuri😃😀😬🤣
Mangi utazidisha chenji hapo dukani mbee!kumbe upuuzi tu
Hahah na ndio shida ya Johnnie Walker mademu wazuri wote ni dada zake🤣Now you’re talking broh! I might be one of your minions hahahaaa! 😂😂😂 ile rangi aseeh! Kwisha habari ya mimi 😂😂😂
Umfikishie Johnnie Walker taarifa jana nilikuwa na toto la kimeru nikashindwa kulila kwa sababu linafanana sana na yeye😬🤣🤣🤣🤣Naskiaga kuwa ni pisi balaa 😅😅
Huyo msee! Akipiga zile vitu kali...Wote anawaona malaika wapya na kusahau kuwa ni dada zake😂😂😂Hahah na ndio shida ya Johnnie Walker mademu wazuri wote ni dada zake🤣
Ameshapata notification yake na amesoma tayari..😂😂😂Umfikishie Johnnie Walker taarifa jana ilikuwa na toto la kimeru nikashindwa kulika kwa sababu linafanana sana na yeye😬🤣🤣🤣🤣