DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
inabidi huyo mpelelezi stellah aanze kuipelelza na hii story kama ina ukweli wowote ama la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHello [emoji112] brothers n sisters Good afternoon!
Tuanze na huu mkasa hapa fuatana nami hadi mwisho. Kuna nyumba hapa Masaki location x, ni ghorofa ya floor moja tuu ndani ina swimming pool, car parking, ina mifumo ya cctv na iko fully furnished. Mmiliki wa hii nyumba ni marehemu Deborah mwenyeji wa maganzo, kishapu mkoani Shinyanga.
Deborah alikuwa ameolewa na alibahatika kupata watoto watatu wote wa kiume na mumewe alikuwa mfanyabiashara wa madini huko Kahama na Katoro. Kutokana na ukwasi aliokuwa nao mumewe waliamua kununua nyumba Dar es Salaam hapa Masaki kwa bei ambayo haikuwekwa wazi. Mume wa Deborah aliamua kuihamishia familia yake yote hapo ili iwe maskani yao rasmi.
Baada ya kuingia kwenye hiyo nyumba, wivu ulitaradadi sana kutoka kwa ndugu upande wa mume na hivyo njama zikasukwa za kumpoteza mume na mke ili ndugu warithi zile mali; jitihada zilifanyika na msimu wa majira ya masika, wakina Deborah walivamiwa nyumbani kwao na kuuawa na majambazi baada ya majibizano ya hapa na pale ya kurushiana risasi. Baada ya mume kuuawa kwa kupigwa risasi, Deborah alichinjwa na wale majambazi yeye na wanawe wote watatu. Kisha ikachukuliwa hydrofluoric acid na kutumika kuyeyusha miili hiyo ndani ya shimo kubwa lililo chimbwa huko ndani. Baada ya hapo pakafukiwa vizuri na wakachinjwa mbuzi wawili hapo hapo.
Kutokana na ukimya wa haya maeneo na kila mtu kujali ya kwake, ikapita muda mrefu kidogo haswa ukizingatia alikuwa ni mtu wa masafa sana katika kufanya biashara hiyo madini. Basi ndugu waliingia na wasiwasi ikabidi kwenda kumtembelea na wakabisha hodi bila mafanikio na simu zake zilikuwa hazipatikani. Ila taa zilikuwa usiku zinawaka na alfajiri zinazima( photosensors device). Na kwa sababu ya ushua wa hayo maeneo hakuna mtu alikuwa ana taarifa zake, hivyo ikabidi waende kwa mwenyekiti kisha polisi. Ikaamuliwa waingie ndani kwa kuvunja geti dogo ambapo walifanikiwa. Wakaingia ndani vitu vilikuwepo ila wao hawapo na walipoingia ndani simu zipo ila wao hawapo. Wauaji utaalamu mzuri sana wakutokuacha ushahidi wowote. Hivyo nyumba ilikaa chini ya uchunguzi na upelelezi mpaka pale polisi ilipoamua kuirejesha kwa familia.
Familia ilikaa kila mtu akiwa na majonzi na maswali kichwani za pande zote mbili. Ukaja katika upande wa usimamizi wa mali maana hakukuwa na mgawanyo maana haijajulikana wako hai au wamekufa? Hivyo ikaamuliwa upande wa mume yaani kaka mtu atasimamia mali za nduguye.
Kaka mtu alienda kuishi pale masaki kwa muda wa miezi 6 huku akifanya ufuatiliaji polisi wa upotevu wa mdogo wake na familia yake kusikojulikana. Baada ya hio miezi sita akaamua aipangishe hiyo nyumba sasa ili ilete kipato zaidi. Mpangaji wa kwanza kuingia pale alikuwa ni wakutoka Kenya ambaye alikuwa akifanya kazi katika taasisi x ya kifedha hapa nchini kama manager.
Alihamia yeye na wanaye wawili, mke wake, dada wakazi na mtoto wa dada yake. Maisha yalikuwa mazuri na yakawaida yenye ubusy na upweke haswa ukizingatia kila yupo na mambo yake. Weekend moja walipanga wote kutoka out kwenda beach kuinjoy hivyo nyumbani alibaki dada wa kazi mwenyewe. Akiwa ameketi kwenye sofa sebuleni amejiachia zake akasikia sufuria imedondoka jikoni, hakujali akaendelea kuangalia tv ghafla tena akasikia mlango wa kabati jikoni kama umefunguliwa, ikabidi apunguze sauti ya TV ili asikilizie sahii sasa lilianguka beseni chini moyo wake ukaanza kwenda mbio ikabidi asogee taratibu uelekeo wa jikoni kutazama nini kinaendelea huko. Alipokaribia akasikia kitu kimetua chini kwa kishindo puu! Akajikuta amepiga yowe tuu, na paka naye akampitia miguuni akilia. Akashusha pumzi kidogo maana alishatepeta, walikuwa wana paka hapo kwao na mbwa pia alikuwepo ila kwa hapo jikoni ni paka alikuwa akitafuta vitafunwa tu. Hivyo alirudi sebuleni kukaa na paka naye akaja kukaa pembeni yake. Alijihisi kuchoka hivyo usingizi ukampitia, akaja kuamshwa na kelele za paka huko store. Ikabidi aende ila wakati anaenda akasikia kimya ghafla akahisi au amedaka panya. Alipoanza kukaribia akaona matone ya damu, aliposhupaza shingo kuangalia huko store paka alikuwa ameshakufa. Alipigwa na butwaa sana akawaza nini kimemua huyu paka?
Twende kwa bwana mkenya sasa, alipokuwa akirudi ametokea beach na familia njiani maeneo ya chole aligonga gari aina ya prado ubavuni huku kwenye taa. Kwa hofu hakusimama akaamua kukanyaga mafuta na kuondoka. Akafika nyumbani akiwa amechoka hivyo aliamua kujipumzimsha sebuleni ajipoze na maji baridi kwanza, ndipo anapata taarifa za kifo cha paka wao na yeye anakiri hii siku ilikuwa na mikosi sana. Usiku unaingia kila mtu anaenda kulala na yeye anatoka nje kuwafungulia mbwa.
Akiwa anarudi sasa ili apande ngazi ghorofani akalale ndipo chumba chake kilipokuwepo akakutana na joka kubwa sana jamii ya chatu limeraruka kuanzia hapa mdomoni, kwenye jicho na ubavuni kidogo linatoa damu. Ikabidi asite na afikiche macho ili ajue ni kweli au ni wenge ndipo akasikia sauti ya lile joka likimwambia unaona ulichonifanya leo jioni maeneo ya chole? Mkenya moyo ulipiga pigo moja kubwa kisha akazimia hapo hapo!
Je? Nini kitafata usikose kufuatilia mkasa huu wa kusisimua ambao uko based na true story iliyotokea kipindi cha nyuma kidogo.
Kalpana AntonniaHello brothers and sisters 👋
Tuendelee baada ya mkenya kuanguka na kujigonga kwenye kingo za ukuta alizimia kwa muda kidogo na alipokuja kuzinduka alijikuta yupo hospital na amezengukwa na watu yofauti tofauti.
Wote walitaka kujua nini hasa kimemsibu ambapo alieleza huo mkasa ikiwa ni pamoja na polisi kuchukua maelezo yao. Ili bidi afande muba ambaye alikabidhiwa asimamie kesi ya upotevu wa Deborah na mume aondolewa na kupewa afande stella ambaye moja kwa moja aliingia saiti na kuanza upelelezi wake.
Upelelezi wa afande huyo ulimpeleka kwa kishapu shinyanga kwaajili ya kuchunguza, ndipo alipofanikiwa kupata dots kuwa lazima ndugu wa mume wanasiri na hio nyumba. Katika upelelezi wake huo alikumbana na vikwazo vingi ikiwa ni pamoja na vitisho kutoka kwa wakubwa zake pamoja na mauza uza ya hapa na pale. Ila hakukata tamaa alipambana ili aupate ukweli, ndipo wifi yake na Deborah alipobanwa sana kwa maswali ya kimitego alikiri kuwa kaka mkubwa anahusika na njama zote hizo.
Safari ya kumtoa kishapu kaka mkubwa ilianza akiwa chini ya uangalizi mkali sana wa polisi ambapo alifikishwa dar na kuchukuliwa maelezo, ikiwa ni pamoja na kubanwa sana kwa mbinu za kipolisi ili atoe ukweli wote. Baada ya kubanwa sana na mateso ya hapa na pale alikiri na kueleza mpango mzima namna ulivyosukwa ikiwa ni pamoja na kushirikiana na baadhi ya askari ambao hawakuwa waaminifu katika kutekeleza shambulio hilo ili wapate hizo mali.
Askari waliotajwa wengi walikuwa wamehamishiwa vituo tofauti tofauti na kwa mujibu wa kaka mkubwa ni kuwa tukio lingefanywa siku ambayo hao askari watakuwa wako lindoni hivyo kwa chochote ambacho kingetokea basi hao askari walikuwa wamejipanga kuweka cover ikiwa ni pamoja na kusema walirushiana risasi na wezi n.k Na kwa mujibu wa hayo mahojiano alikiri kuwapa askari hao mgao upatao milioni 300 kwani walikuwa 6 katika doria ya siku hiyo. Pia aliekuwa mpelelezi wa hiyo kesi kabla ya kuondolewa alikabidhiwa kitita cha shs milioni 200 ili kuuzima moto wa hiyo kesi. Marehemu mume wa Deborah aliacha benki shs bilioni 1.5 alikuwa na nyumba hapo masaki na pia nyumba 1 moja maeneo ya capri point mwanza. Pia alikuwa na hotel moja hapo shinyanga.
Yote alieleza ikiwa ni pamoja na kuonyesha sehemu tukio lilipofanyika namna walivyousuka huo mpango na wahusika wote. Kesi ilenda mahakamani na ilikuwa ni gumzo kubwa sana katika jiji zima, iliunguruma kwa muda wa mwaka mzima na miezi minne kabla ya hukumu kutoka huku wengi wao akiwemo kaka mkubwa wakila mvua za miaka 30 mpaka 60 na wengine mvua za miaka 5 mpaka 10.
Mahakama pia iliamua zile mali zote za marehemu ziende kwa upande wa mwanamke yaani Deborah's family kwa kile mahakama ilichotafsiri kuwa hawakuwa na hatia ya kushiriki kuutoa uhai wa hao wapendanao.
Nyumba hiyo ilifanyiwa maombi sana kabla ya kuja kuuzwa kwa mfanyabiashara mmoja wa sheli za mafuta! Kwa kiasi ambacho hakikuwekwa wazi. Kwa sasa vitimbwi kwenye hio nyumba havipo tena na hali ni shwari kwani roho ya Deborah ilipumzika kwa amani baada ya kutendewa haki.
*Hi ni simulizi iliyotokea huko nchini Congo miaka ya nyuma kidogo haswa kwa kuwa ni kipindi hicho kulikuwa na mauaji sana ya wafanyabiashara wa madini!
END OF STORY
Hahahaaa..Hii ilianza kabla ya ile ya kulala tajiri kuamka Masikini! pia hii ishaisha
imekaa kinafki sanaDuh, nimeimaliza, bonge moja la mkasa. Dunia ina mambo.
kwaiyo mzimu wa Deborah ukawa unaDeal na kuwaua paka na mbwa tu, mbona haujawaenyesha wauaji badala yake imeanza kuwadondosha watu wasiohusika nayey kwenye sakafu, kuonesha watu chatu, vitisho kwa watu ambao sio walengwa.Hello brothers and sisters [emoji112]
Tuendelee baada ya mkenya kuanguka na kujigonga kwenye kingo za ukuta alizimia kwa muda kidogo na alipokuja kuzinduka alijikuta yupo hospital na amezengukwa na watu yofauti tofauti.
Wote walitaka kujua nini hasa kimemsibu ambapo alieleza huo mkasa ikiwa ni pamoja na polisi kuchukua maelezo yao. Ili bidi afande muba ambaye alikabidhiwa asimamie kesi ya upotevu wa Deborah na mume aondolewa na kupewa afande stella ambaye moja kwa moja aliingia saiti na kuanza upelelezi wake.
Upelelezi wa afande huyo ulimpeleka kwa kishapu shinyanga kwaajili ya kuchunguza, ndipo alipofanikiwa kupata dots kuwa lazima ndugu wa mume wanasiri na hio nyumba. Katika upelelezi wake huo alikumbana na vikwazo vingi ikiwa ni pamoja na vitisho kutoka kwa wakubwa zake pamoja na mauza uza ya hapa na pale. Ila hakukata tamaa alipambana ili aupate ukweli, ndipo wifi yake na Deborah alipobanwa sana kwa maswali ya kimitego alikiri kuwa kaka mkubwa anahusika na njama zote hizo.
Safari ya kumtoa kishapu kaka mkubwa ilianza akiwa chini ya uangalizi mkali sana wa polisi ambapo alifikishwa dar na kuchukuliwa maelezo, ikiwa ni pamoja na kubanwa sana kwa mbinu za kipolisi ili atoe ukweli wote. Baada ya kubanwa sana na mateso ya hapa na pale alikiri na kueleza mpango mzima namna ulivyosukwa ikiwa ni pamoja na kushirikiana na baadhi ya askari ambao hawakuwa waaminifu katika kutekeleza shambulio hilo ili wapate hizo mali.
Askari waliotajwa wengi walikuwa wamehamishiwa vituo tofauti tofauti na kwa mujibu wa kaka mkubwa ni kuwa tukio lingefanywa siku ambayo hao askari watakuwa wako lindoni hivyo kwa chochote ambacho kingetokea basi hao askari walikuwa wamejipanga kuweka cover ikiwa ni pamoja na kusema walirushiana risasi na wezi n.k Na kwa mujibu wa hayo mahojiano alikiri kuwapa askari hao mgao upatao milioni 300 kwani walikuwa 6 katika doria ya siku hiyo. Pia aliekuwa mpelelezi wa hiyo kesi kabla ya kuondolewa alikabidhiwa kitita cha shs milioni 200 ili kuuzima moto wa hiyo kesi. Marehemu mume wa Deborah aliacha benki shs bilioni 1.5 alikuwa na nyumba hapo masaki na pia nyumba 1 moja maeneo ya capri point mwanza. Pia alikuwa na hotel moja hapo shinyanga.
Yote alieleza ikiwa ni pamoja na kuonyesha sehemu tukio lilipofanyika namna walivyousuka huo mpango na wahusika wote. Kesi ilenda mahakamani na ilikuwa ni gumzo kubwa sana katika jiji zima, iliunguruma kwa muda wa mwaka mzima na miezi minne kabla ya hukumu kutoka huku wengi wao akiwemo kaka mkubwa wakila mvua za miaka 30 mpaka 60 na wengine mvua za miaka 5 mpaka 10.
Mahakama pia iliamua zile mali zote za marehemu ziende kwa upande wa mwanamke yaani Deborah's family kwa kile mahakama ilichotafsiri kuwa hawakuwa na hatia ya kushiriki kuutoa uhai wa hao wapendanao.
Nyumba hiyo ilifanyiwa maombi sana kabla ya kuja kuuzwa kwa mfanyabiashara mmoja wa sheli za mafuta! Kwa kiasi ambacho hakikuwekwa wazi. Kwa sasa vitimbwi kwenye hio nyumba havipo tena na hali ni shwari kwani roho ya Deborah ilipumzika kwa amani baada ya kutendewa haki.
*Hi ni simulizi iliyotokea huko nchini Congo miaka ya nyuma kidogo haswa kwa kuwa ni kipindi hicho kulikuwa na mauaji sana ya wafanyabiashara wa madini!
END OF STORY
Doh! Watu wanajua kutengeneza na kusimulia visa!Hello [emoji112] brothers n sisters Good afternoon!
Tuanze na huu mkasa hapa fuatana nami hadi mwisho. Kuna nyumba hapa Masaki location x, ni ghorofa ya floor moja tuu ndani ina swimming pool, car parking, ina mifumo ya cctv na iko fully furnished. Mmiliki wa hii nyumba ni marehemu Deborah mwenyeji wa maganzo, kishapu mkoani Shinyanga.
Deborah alikuwa ameolewa na alibahatika kupata watoto watatu wote wa kiume na mumewe alikuwa mfanyabiashara wa madini huko Kahama na Katoro. Kutokana na ukwasi aliokuwa nao mumewe waliamua kununua nyumba Dar es Salaam hapa Masaki kwa bei ambayo haikuwekwa wazi. Mume wa Deborah aliamua kuihamishia familia yake yote hapo ili iwe maskani yao rasmi.
Baada ya kuingia kwenye hiyo nyumba, wivu ulitaradadi sana kutoka kwa ndugu upande wa mume na hivyo njama zikasukwa za kumpoteza mume na mke ili ndugu warithi zile mali; jitihada zilifanyika na msimu wa majira ya masika, wakina Deborah walivamiwa nyumbani kwao na kuuawa na majambazi baada ya majibizano ya hapa na pale ya kurushiana risasi. Baada ya mume kuuawa kwa kupigwa risasi, Deborah alichinjwa na wale majambazi yeye na wanawe wote watatu. Kisha ikachukuliwa hydrofluoric acid na kutumika kuyeyusha miili hiyo ndani ya shimo kubwa lililo chimbwa huko ndani. Baada ya hapo pakafukiwa vizuri na wakachinjwa mbuzi wawili hapo hapo.
Kutokana na ukimya wa haya maeneo na kila mtu kujali ya kwake, ikapita muda mrefu kidogo haswa ukizingatia alikuwa ni mtu wa masafa sana katika kufanya biashara hiyo madini. Basi ndugu waliingia na wasiwasi ikabidi kwenda kumtembelea na wakabisha hodi bila mafanikio na simu zake zilikuwa hazipatikani. Ila taa zilikuwa usiku zinawaka na alfajiri zinazima( photosensors device). Na kwa sababu ya ushua wa hayo maeneo hakuna mtu alikuwa ana taarifa zake, hivyo ikabidi waende kwa mwenyekiti kisha polisi. Ikaamuliwa waingie ndani kwa kuvunja geti dogo ambapo walifanikiwa. Wakaingia ndani vitu vilikuwepo ila wao hawapo na walipoingia ndani simu zipo ila wao hawapo. Wauaji utaalamu mzuri sana wakutokuacha ushahidi wowote. Hivyo nyumba ilikaa chini ya uchunguzi na upelelezi mpaka pale polisi ilipoamua kuirejesha kwa familia.
Familia ilikaa kila mtu akiwa na majonzi na maswali kichwani za pande zote mbili. Ukaja katika upande wa usimamizi wa mali maana hakukuwa na mgawanyo maana haijajulikana wako hai au wamekufa? Hivyo ikaamuliwa upande wa mume yaani kaka mtu atasimamia mali za nduguye.
Kaka mtu alienda kuishi pale masaki kwa muda wa miezi 6 huku akifanya ufuatiliaji polisi wa upotevu wa mdogo wake na familia yake kusikojulikana. Baada ya hio miezi sita akaamua aipangishe hiyo nyumba sasa ili ilete kipato zaidi. Mpangaji wa kwanza kuingia pale alikuwa ni wakutoka Kenya ambaye alikuwa akifanya kazi katika taasisi x ya kifedha hapa nchini kama manager.
Alihamia yeye na wanaye wawili, mke wake, dada wakazi na mtoto wa dada yake. Maisha yalikuwa mazuri na yakawaida yenye ubusy na upweke haswa ukizingatia kila yupo na mambo yake. Weekend moja walipanga wote kutoka out kwenda beach kuinjoy hivyo nyumbani alibaki dada wa kazi mwenyewe. Akiwa ameketi kwenye sofa sebuleni amejiachia zake akasikia sufuria imedondoka jikoni, hakujali akaendelea kuangalia tv ghafla tena akasikia mlango wa kabati jikoni kama umefunguliwa, ikabidi apunguze sauti ya TV ili asikilizie sahii sasa lilianguka beseni chini moyo wake ukaanza kwenda mbio ikabidi asogee taratibu uelekeo wa jikoni kutazama nini kinaendelea huko. Alipokaribia akasikia kitu kimetua chini kwa kishindo puu! Akajikuta amepiga yowe tuu, na paka naye akampitia miguuni akilia. Akashusha pumzi kidogo maana alishatepeta, walikuwa wana paka hapo kwao na mbwa pia alikuwepo ila kwa hapo jikoni ni paka alikuwa akitafuta vitafunwa tu. Hivyo alirudi sebuleni kukaa na paka naye akaja kukaa pembeni yake. Alijihisi kuchoka hivyo usingizi ukampitia, akaja kuamshwa na kelele za paka huko store. Ikabidi aende ila wakati anaenda akasikia kimya ghafla akahisi au amedaka panya. Alipoanza kukaribia akaona matone ya damu, aliposhupaza shingo kuangalia huko store paka alikuwa ameshakufa. Alipigwa na butwaa sana akawaza nini kimemua huyu paka?
Twende kwa bwana mkenya sasa, alipokuwa akirudi ametokea beach na familia njiani maeneo ya chole aligonga gari aina ya prado ubavuni huku kwenye taa. Kwa hofu hakusimama akaamua kukanyaga mafuta na kuondoka. Akafika nyumbani akiwa amechoka hivyo aliamua kujipumzimsha sebuleni ajipoze na maji baridi kwanza, ndipo anapata taarifa za kifo cha paka wao na yeye anakiri hii siku ilikuwa na mikosi sana. Usiku unaingia kila mtu anaenda kulala na yeye anatoka nje kuwafungulia mbwa.
Akiwa anarudi sasa ili apande ngazi ghorofani akalale ndipo chumba chake kilipokuwepo akakutana na joka kubwa sana jamii ya chatu limeraruka kuanzia hapa mdomoni, kwenye jicho na ubavuni kidogo linatoa damu. Ikabidi asite na afikiche macho ili ajue ni kweli au ni wenge ndipo akasikia sauti ya lile joka likimwambia unaona ulichonifanya leo jioni maeneo ya chole? Mkenya moyo ulipiga pigo moja kubwa kisha akazimia hapo hapo!
Je? Nini kitafata usikose kufuatilia mkasa huu wa kusisimua ambao uko based na true story iliyotokea kipindi cha nyuma kidogo.
[emoji3526]Horror
Angekuwa ni mchina ndo kapanga hiyo nyumba, huyo nyoka asinge pona. Angekuwa supu ya usiku.Hello 👋 brothers n sisters Good afternoon!
Tuanze na huu mkasa hapa fuatana nami hadi mwisho. Kuna nyumba hapa Masaki location x, ni ghorofa ya floor moja tuu ndani ina swimming pool, car parking, ina mifumo ya cctv na iko fully furnished. Mmiliki wa hii nyumba ni marehemu Deborah mwenyeji wa maganzo, kishapu mkoani Shinyanga.
Deborah alikuwa ameolewa na alibahatika kupata watoto watatu wote wa kiume na mumewe alikuwa mfanyabiashara wa madini huko Kahama na Katoro. Kutokana na ukwasi aliokuwa nao mumewe waliamua kununua nyumba Dar es Salaam hapa Masaki kwa bei ambayo haikuwekwa wazi. Mume wa Deborah aliamua kuihamishia familia yake yote hapo ili iwe maskani yao rasmi.
Baada ya kuingia kwenye hiyo nyumba, wivu ulitaradadi sana kutoka kwa ndugu upande wa mume na hivyo njama zikasukwa za kumpoteza mume na mke ili ndugu warithi zile mali; jitihada zilifanyika na msimu wa majira ya masika, wakina Deborah walivamiwa nyumbani kwao na kuuawa na majambazi baada ya majibizano ya hapa na pale ya kurushiana risasi. Baada ya mume kuuawa kwa kupigwa risasi, Deborah alichinjwa na wale majambazi yeye na wanawe wote watatu. Kisha ikachukuliwa hydrofluoric acid na kutumika kuyeyusha miili hiyo ndani ya shimo kubwa lililo chimbwa huko ndani. Baada ya hapo pakafukiwa vizuri na wakachinjwa mbuzi wawili hapo hapo.
Kutokana na ukimya wa haya maeneo na kila mtu kujali ya kwake, ikapita muda mrefu kidogo haswa ukizingatia alikuwa ni mtu wa masafa sana katika kufanya biashara hiyo madini. Basi ndugu waliingia na wasiwasi ikabidi kwenda kumtembelea na wakabisha hodi bila mafanikio na simu zake zilikuwa hazipatikani. Ila taa zilikuwa usiku zinawaka na alfajiri zinazima( photosensors device). Na kwa sababu ya ushua wa hayo maeneo hakuna mtu alikuwa ana taarifa zake, hivyo ikabidi waende kwa mwenyekiti kisha polisi. Ikaamuliwa waingie ndani kwa kuvunja geti dogo ambapo walifanikiwa. Wakaingia ndani vitu vilikuwepo ila wao hawapo na walipoingia ndani simu zipo ila wao hawapo. Wauaji utaalamu mzuri sana wakutokuacha ushahidi wowote. Hivyo nyumba ilikaa chini ya uchunguzi na upelelezi mpaka pale polisi ilipoamua kuirejesha kwa familia.
Familia ilikaa kila mtu akiwa na majonzi na maswali kichwani za pande zote mbili. Ukaja katika upande wa usimamizi wa mali maana hakukuwa na mgawanyo maana haijajulikana wako hai au wamekufa? Hivyo ikaamuliwa upande wa mume yaani kaka mtu atasimamia mali za nduguye.
Kaka mtu alienda kuishi pale masaki kwa muda wa miezi 6 huku akifanya ufuatiliaji polisi wa upotevu wa mdogo wake na familia yake kusikojulikana. Baada ya hio miezi sita akaamua aipangishe hiyo nyumba sasa ili ilete kipato zaidi. Mpangaji wa kwanza kuingia pale alikuwa ni wakutoka Kenya ambaye alikuwa akifanya kazi katika taasisi x ya kifedha hapa nchini kama manager.
Alihamia yeye na wanaye wawili, mke wake, dada wakazi na mtoto wa dada yake. Maisha yalikuwa mazuri na yakawaida yenye ubusy na upweke haswa ukizingatia kila yupo na mambo yake. Weekend moja walipanga wote kutoka out kwenda beach kuinjoy hivyo nyumbani alibaki dada wa kazi mwenyewe. Akiwa ameketi kwenye sofa sebuleni amejiachia zake akasikia sufuria imedondoka jikoni, hakujali akaendelea kuangalia tv ghafla tena akasikia mlango wa kabati jikoni kama umefunguliwa, ikabidi apunguze sauti ya TV ili asikilizie sahii sasa lilianguka beseni chini moyo wake ukaanza kwenda mbio ikabidi asogee taratibu uelekeo wa jikoni kutazama nini kinaendelea huko. Alipokaribia akasikia kitu kimetua chini kwa kishindo puu! Akajikuta amepiga yowe tuu, na paka naye akampitia miguuni akilia. Akashusha pumzi kidogo maana alishatepeta, walikuwa wana paka hapo kwao na mbwa pia alikuwepo ila kwa hapo jikoni ni paka alikuwa akitafuta vitafunwa tu. Hivyo alirudi sebuleni kukaa na paka naye akaja kukaa pembeni yake. Alijihisi kuchoka hivyo usingizi ukampitia, akaja kuamshwa na kelele za paka huko store. Ikabidi aende ila wakati anaenda akasikia kimya ghafla akahisi au amedaka panya. Alipoanza kukaribia akaona matone ya damu, aliposhupaza shingo kuangalia huko store paka alikuwa ameshakufa. Alipigwa na butwaa sana akawaza nini kimemua huyu paka?
Twende kwa bwana mkenya sasa, alipokuwa akirudi ametokea beach na familia njiani maeneo ya chole aligonga gari aina ya prado ubavuni huku kwenye taa. Kwa hofu hakusimama akaamua kukanyaga mafuta na kuondoka. Akafika nyumbani akiwa amechoka hivyo aliamua kujipumzimsha sebuleni ajipoze na maji baridi kwanza, ndipo anapata taarifa za kifo cha paka wao na yeye anakiri hii siku ilikuwa na mikosi sana. Usiku unaingia kila mtu anaenda kulala na yeye anatoka nje kuwafungulia mbwa.
Akiwa anarudi sasa ili apande ngazi ghorofani akalale ndipo chumba chake kilipokuwepo akakutana na joka kubwa sana jamii ya chatu limeraruka kuanzia hapa mdomoni, kwenye jicho na ubavuni kidogo linatoa damu. Ikabidi asite na afikiche macho ili ajue ni kweli au ni wenge ndipo akasikia sauti ya lile joka likimwambia unaona ulichonifanya leo jioni maeneo ya chole? Mkenya moyo ulipiga pigo moja kubwa kisha akazimia hapo hapo!
Je? Nini kitafata usikose kufuatilia mkasa huu wa kusisimua ambao uko based na true story iliyotokea kipindi cha nyuma kidogo.
[emoji106]Inaendelea,,,,,, fuatana nami.
Mkenya alipokuja kuzinduka alijikuta yuko baharini mwenyewe kwenye fukwe mwenyewe. Ndipo alipoenda kuomba msaada kwenye kijiji cha wavuvi hapo jirani ambao nao walimsitiri kwa kumpatia nguo na kumuhoji kulikoni! Alijaribu kueleza mkasa wake nao wakamsihi alale mpaka pakuche ndipo wafanye utaratibu wa kurudi kwake. Basi kulipo pambazuka alirudi nyumbani ambapo alikuta tayari taarifa zake zishafika kazini na polisi. Hivo ilibidi awaeleze yaliotokea na hakuna mtu ambaye alimwamini ila wakahisi ni uchovu wa kazi hivo akapewa likizo ya mwezi mmoja arudi kwao akapumzishe fuvu lake.
Turudi sasa huku kwa nduguze na Deborah ambao wao walihisi wametengwa na familia ya mume hivyo ni kama haki yao wamenyimwa, kwahyo wakaamua shari sasa maana nao wanataka mgao au mjumuisho katika mali. Hapo ukaanza ugomvi wa mali baina ya ndugu wa mume na mke. Hivyo kutokana na ushauri wa hapa na pale kaka mkubwa wa Deborah akaamua kufunga safari mpaka Tanga wilaya mkinga katika kata ya maramba. Huko alienda kwa mtaalam mmoja ambaye waliongozana mpaka mto zigi kwaajili ya kufanya shirki. Hivo walienda na mbuzi wawili na kuku mmoja, ambapo waliwachinja na kaka wa Deborah kuoga damu ya mbuzi katika huo mto zigi.( Huo mto una mamba sana na hizo shughuli zilifanyika usiku wa manane). Baada ya hapo alitakiwa kwenda huko milima ya amani napo Tanga wanapolima sana chai kwaajili ya kujifukiza yeye na damu ya kwao.
Na upande wa pili kwa kina mume sasa wao walikuwa na mtaalam wao maeneo ya kolandoto ambaye awamu hii aliwachukua kuwapeleka simiyu wilaya ya itilima eneo moja linaitwa mwamapalala kwaajili ya kwenda kukanyagia na kuongeza zaidi moto ili wao ndio wazitawale mali. Kwahiyo ikawa kila upande una kazi ya kukanyagia ili kumtokomeza mwenzake nayeye asitokomezwe.
Kwa kipindi cha kama wiki mbili hivi ndugu upande wa Deborah walikavuta kamba watatu na huku upande wa mume alivuta kamba mmoja! Kwa hiyo ikawa kama umekaa kinyonge basi utatembea hivo familia hizo mbili wakawa maadui na viapo vingi sana baina yao kutokana na mali zilizoachwa.
Mkenya alirudi kutoka likizo akiwa na ari na nguvu mpya ya kufanya kazi, hivo alianza kazi kwa fujo kwa kufuza wafanyakazi wawili kwa kosa la uzembe. Sasa siku ya siku yeye akiwa kazini na nyumbani hakukuwa na mtu hivo vibaka waliingia ndani kujaribu kutafta rizki kwa kuiba vito vya samani ambavyo waliamini visingekosekana huko ndani. Waliingia na kuvunja dirisha kisha wakakata nondo za dirisha na kupenya ndani mmoja aliingia mwingine akabaki nje na mwingine alisimama eneo la karibu na geti kusoma raketi. Mbwa walibweka bila matumaini. Aliyekuwa ndani alianza na TV alipokuwa anaibeba ili aitoe nje aliteleza nayo na kuangukia kichwa umauti ukamfika hapo hapo na damu zikichuruzika, yule aliyekuwa nje kwasababu alisikia kishindo ikabidi aende kuchungulia akamkuta mwenzie chalii na damu zimetapakaa. Hivo akaona huu ushakuwa mkosi na kilichobaki ni kusepa. Kwaio walipokuwa ndani walivunja mlango kwa ndani na geti pia dogo walivunja komeo. Walipakiana kwenye pikipiki na kuanza mwendo ila hawakufika mbali hata mbali kutokana na mwendo kasi na wenge walivaana uso kwa uso na land cruiser, hawakuomba hata maji ya kunywa. Cruiser nayo iliharibika ila sio sana. Watu wakajongea kujaribu kutoa msaada na polisi walifika na traffic. Na mke nae wa mkenya alikuwa akirudi ndipo alipokuta hekaheka hiyo akaamua afike kwanza nyumbani, naye akakuta pako tofauti geti liko wazi, mbwa wanabweka sana aliposogea kuingia ndani akapiga yowee! Huku akikimbilia nje kabisa ya geti ikabidi watu wasogee tena huko na polisi kutaka kujua kulikoni tena huku masaki leo.
Marehemu kibaka alitolewa nje na kupakizwa kwenye defender na polisi kufanya uchunguzi wao na kuchukua sample kaza wa kaza. Na watu wakajaribu kuunganisha matukio wakajua hao walikuwa wezi na wote hakuna aliyechomoka.
Mkenya akajadiliana kwa kina sana na mke wake kwamba hapa usalama ushakuwa ni mdogo na kilichobaki ni kuhama hii nyumba na kutafta eneo jingine litakalo kuwa na usalama zaidi maana hata watoto walishaanza kuwa na hofu na uwoga.
Alifanikiwa kupata nyumba nyingine maeneo ya namanga hivyo alirudi kumtaarifu mke wake kuwa watahama mkataba utakapokuwa unaisha. Ikiwa imesalia wiki moja, usiku mkenya alitoka nje baada kusikia mbwa wanabweka sana akahisi wamevamiwa tena. Alizunguka ila alikuta mbwa wanabweka ila hakuna kitu. Akaamua kurudi ndani tena bado akasikia wanabweka ila ghafla kimya kikatawala alitoka tena wakati huu akiwa na tahadhari kubwa, alizunguka ila hakuwaona mbwa alipokuwa akirudi mlango mkubwa wakutokea nje alimkuta mbwa mmoja amekufa na damu zinachurika tuu. Akatoa pistol yake ndogo na kurudi ndani kufunga mlango, aliiamsha familia yake na kuwaweka alert kuwa kuna hatari ivo wakusanyike sehemu moja wakati anafanya mpango wa kupiga simu polisi. Akiwa kwenye harakati za kupiga simu network haikamati ikabidi amwombe mke wake simu na yenyewe pia network haikamati! Hofu iliwatanda wote na presha ikawa juu yao, yule mbwa mmoja ghafla akaanza kubweka tena mwenzake ameshauwawa, ikambidi mkenya achungulie dirishani maana ndani ni giza na nje kuna mwanga hivo akiwa katika harakati za kuzungukia madirisha kuchungulia na kuyafunga ghafla bin vuu! Umeme ukakatika nyumba nzima,,,,,,,
Je? Nini kitaendelea usikose kufuatana nami hadi mwisho.
Iko based on true story kabisa ilio tokea hapa hapa TZ ila locations na majina sio halisia.
Nitumie link, niende kwa SteveKabisa mkuu umeona eeehhh!!
Sema mwamba Ni mzeiya wa kutupia usiku mkali
Naomba link kwa SteveHapa tunatoa arosto maana Steve anatuweka sana[emoji2]